New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Ninaamini
1689306869406.jpg
 
JESHI LA POLISI LINALIA NA MABADILIKO PIA.


Badala ya kulinda raia, jeshi la polisi wanatumika kuwa vihatarishi vya amani ya raia wema kwa nia ovu ya kulinda wizi na ubadhirifu wa mali ya umma unaoendelea serikalini.


Badala ya kuwahoji waliosaini mikataba ya kifisadi wanawaandama wale wanaokhoji uhalali wa mikataba yenye usiri mkubwa unaofanywa wa kujimilikisha mali za umma na raia wema ambao wanatekeleza majukumu yao ya kisheria ya kulinda mali ya umma.


Jeshi la polisi nalo linatulilia mageuzi huko mbele tutalimuka ni aina gani ya mageuzi linahitaji ili liache upagasi kwa wanasiasa liwe ni jeshi la wataalamu ambao uwajibikaji wao ni kwa kutenda haki siyo kuwa ni kinga ya wezi na wabadhirifu serikalini.

Kwa.muundo wa jeshi la polisi ulivyo haliwezi kuchunguza kama rushwa ilitumika kabla na baada ya mkataba kusainiwa


Kwa muundo wa Jeshi la polisi halina meno ya kuwachunguza wabunge walioenda Dubai na kurejea ma magari ya kifahari ambayo yanaashiria uwezekano mkubwa wa kuhongwa.

Jeshi la polisi haliangalii au kutaka kujua waandishi wa habari ambao wanapigia upatu bandari zetu kuuzwa nao wamerudi nyumbani na magari ya kifahari na kuashiria uwezekano mkubwa wa kuhongwa







IMG-20230714-WA0004.jpg
 

An African professor is excellent in empowering aliens on fictitious grounds of efficiency, larceny proof, and more cash for governors.

They promise heaven but deliver hell

OUR 2025 BIG PROJECTION


Before 2025, this regime will REVOKE all contracts with DP WORLD

This will happen before 2025 elections.


DP WORLD will carry off massive layoffs and will renege to part with the billions of dollars they will collect from the ports.

That will leave our rulers boxed into a corner with no way out but to concede it was a colossal error of judgment on their part.


So, wait to hear excuses why the IGA was lopsided, illegal under Tanzania law and posing a security threat the same arguments both Somaliland and Djibouti are remonstrating today.
 
Nobody has failed Africa but Africa has failed herself.

When Africans go to school is to learn how to empower non Africans in the name we cannot do it and the aliens are BETTER THAN US!

It is part of colonial indoctrination to mistrust our own capabilities and trust on aliens to be our all time problems solver. This has led to overdependence of the mind culminating into low self-esteem and underwhelming confidence.

African ruling clique has no idea how to inject internal reforms and solve local problems but relishes to sell every prime asset for a pittance to forgeiners.

Our learned touting impressive academic credentials inflict impoverishment against fellow Africans because they deem them as a bunch of thieves and muggers.

But alien investors who strip us of our natural resources we claim we are attracting foreign investment but for whose benefit?




IMG-20230714-WA0013.jpg
 
OUR ANOTHER MAJOR PROJECTION.


We project the High Court in Mbeya will revoke the Bunge declaration as unconstitutional and illegal under Tanzanian law, but the very executive pliant Court of Appeal will restore the declaration after being heavily compromised by the executive.


We also project the Court of Appeal decision will be overturned by the African Court of Human Rights and Peoples Rights citing the same reasoning the Mbeya High Court had deployed.

However, the government will refuse to obey Court orders until the whole caboodle backfire before their very own eyes.
 
Back
Top Bottom