New Broadcaster To Challenge Dstv and Kwese: Meet AzamTV

New Broadcaster To Challenge Dstv and Kwese: Meet AzamTV

Hivyo basi ni kusema ya kwamba hata hizi dini na madhehebu zisimiliki vyombo vyao vya kupeperusha habari kwasabu huo utazua mgawanyiko ya kidini?

Hizi makabila za Kenya zinachukiana kwasababu ya siasa mbaya; hisia ya kwamba kabila hili linanufaika zaidi na raslimali ya taifa kutokana na jamaa wao kuwa kwenye wadhifaa kuu zaidi serikalini. Na chuki za kikabila ilikuwa hivi tangu enzi zile kabla hata ya kuwepo kwa uhuru wa kupeperusha habari jinsi ilivyo kwa sasa.

Media Owners Association ni body lisilo la kiserikali, kwa ushirikiano na CCK zinamonitor matangazo za hivi vituo.

****

Anyhoo, wako wapi wale wenzako waliodai Kenya ina vituo 6 tu za tv? Imedhihirika wazi sasa nani ako na vituo vingi zaidi? Whether ni za kikabila or not is beside the point!
Mimi nina washauli muziondoe hizo channels. Kuhusu Tv stations tofauti na aliyo sema mna sita hamna aliyekuja na namba tofauti, Mfano hapo colloh mwizi ameweka machannel mpaka ya India, Nigeria, Tz e.t.c halafu anasakizia ziko Kenya. Wewe mpinge alie sema sita kwa kutaja namba tofauti na ulete evidence
 
haha huwa mnajidai mko mbele later mnagundua mko nyuma....haha
online zitafika 1000.
Hapo Kenya hakuna Kingamuzi kilichotapakaa kama Azam TV pili TV stations nichache nikiweka na Zanzibar jumla TZ ina TV stations 47
 
Kwa TV Stations hakuna inayo ifikia azam TV kwa investments
 
Mimi nina washauli muziondoe hizo channels. Kuhusu Tv stations tofauti na aliyo sema mna sita hamna aliyekuja na namba tofauti, Mfano hapo colloh mwizi ameweka machannel mpaka ya India, Nigeria, Tz e.t.c halafu anasakizia ziko Kenya. Wewe mpinge alie sema sita kwa kutaja namba tofauti na ulete evidence

Freedom of expression, media freedom...

Huo ushauri wako katu hatutayatilia maanani. As long as hazienezi mambo ya chuki, shida iko wapi? Nimekuelezea bayana kwamba chemichemi ya chuki za kikabila Kenya haitokani na matangazo kwenye vyombo vya habari, manake yalikuwemo hata miaka ile vyombo vya habari vilikuwa vimedhibitiwa na serikali.....miaka ya 70 na 80 ilikuwa hatari.

Kwa kweli hapo Collo Mzii kidogo ameteleza kutaja hata zile tv steshens ambazo si za Kenya, lakini bado ameangazia ukweli jinsi ilivyo. Kenya ina TV stations zaidi ya 50!
Nilisahau kabisaa kutaja pia huduma za

Zuku tv. Wao pia wanamiliki stesheni zaidi ya 10 and it is the only company offering the service via fiber (in addition to satellite) in the region, and one of the few in the continent.

Zuku Packages, Channels and Zuku Customer Care Contacts
 
haha huwa mnajidai mko mbele later mnagundua mko nyuma....haha
online zitafika 1000.
Sikia nikwambie kwenye TV stations mko nyuma sana tena sana. Hakuna TV station East Africa yakufikia azam interms of having high tech epuipments.
Zunguka TV stations zote East Africa no one owns this type of cameras but azam only. Kwanza mnajua bei yake??
405e1e50b5ae18ea38988ca6ee8438da.jpg
7384eafe5dccb08c43db534302b820a9.jpg
 
Hakuna TV station East Africa yenye kumiliki idadi kubwa ya magari mengi yenye kulusha matangazo live kama azam. Nabado anazidi kuingiza ayo magari. Azam is beyond any TV station in East and Central Africa. Yeye anashindana na DSTV. Fikeni Uganda na Rwanda muone watu wanavyo tumia azam. Azam ni level nyingine
unnamed-23.jpg
a25b81eadb5bc9d855c28b3a715dd4e4.jpg
a25b81eadb5bc9d855c28b3a715dd4e4.jpg
afb3a86fbbf582b5764423b4aebd3c66.jpg
7f84cf4fd1a394bb0dfd9e2e33262d53.jpg
IMG_0019.jpg
1508202_248233958676186_354607000_n.jpg
azam_tv_.jpg
Azam-TV-Burudani.jpg
 
Frequency 506Mhz

  • PANG-SPTV
  • STV-CCTV Documentary
  • STV-CNC
  • PANG Vision TV
Frequency 514 Mhz

  • Signet Family
  • Signet Sayare
  • Signet K24
  • Signet KBC1
  • Signet EDU TV
  • Signet EBRU Africa
  • Signet Njata TV
  • Signet Kingdom
  • Signet Revival
  • Signet Aviation TV
  • Signet Hope TV
  • Signet Pwani TV
  • Signet Youth TV
  • Signet Lolwe TV
  • Signet KTS
  • Signet LVTV
  • Signet Mother and Child
  • Signet WTV
  • Signet KTN TV
  • Signet Baite TV
Frequency 522Mhz, The Bamba TV frequency

  • Kiss TV HD
  • DW
  • GOD TV
  • Romanza
  • iFilm
  • EWTN
  • KASS TV
  • AMC SLATE
  • JTV SLATE
  • MOIVIE CLUB
  • CARS TV
  • NHK WORLD
  • France 24 English
  • Aljazeera
  • Nollywood
Frequency 554Mhz

  • Go channel
  • Etv Africa
  • Africa Magic World
  • E! Entertainment
  • Africa Magic
  • ED
  • Disney Junior
  • Nickelodeon
  • Discoveryy World
  • Aljazeera
  • Channel O
  • Faith
  • One Gospel
  • Sony Max
  • Jim Jam
  • Select Sport
  • BET
Frequency 562Mhz

  • STV-ST Guide
  • STV-ST One
  • STV-ST Africa
  • STV-FX
  • PANG-KBC1
  • PANG-KTN
  • PANG-NTV
  • PANG-QTV
  • PANG-UTV
  • PANG-K24
  • PANG CITIZEN
  • STV-Channel Ten
  • PANG-Health TV
  • STV-E-Stars
  • PAND-TVC
  • STV-BET
  • STV-e.TV
  • STV-E! entertainment
  • STV-Triple P
  • PANG-DOVE TV
  • STV-Star Plus
Frequency 570 Mhz

  • STV-Amc
  • STV-True Movies
  • STV-ST Series
  • STV-ST Novela
  • STV-ST KungFu
  • STV-QYOU
  • STV-Trace Sport
  • STV-CCTV News
  • STV-BBC World
  • STV-MSNBC
  • STV-Child Smile
  • STV-Nickelodeon
  • STV-Jim Jam
  • STV-ST Music
  • STV-MTV Base
  • STV-C Music
  • STV-Gospel Music
  • STV-ST Bollywood
  • STV-ST Swa Bol
  • STV-Star Gold
  • STV-ZEE cinema
Frequency 586 Mhz

  • STV-ST Movies
  • STV-ST Swahili
  • STV-ST Nat Geo Gold
  • STV- Discovery
  • STV-Viasat E+C
  • STV-Animaux
  • STV-Fox Sports
  • STV-Fox Sports
  • STV-Eurosports
  • STV-MCS
  • STV-MCS Extreme
  • STV-Fox News
  • STV-Bloomberg
  • STV-TVC News
  • STV-TLC
  • STV-POP
  • STV-Da Vinci Learning
  • STV-GOD TV
  • STV-Family TV
  • PANG-3 Stones
  • PANG-Kaaba TV
  • STV-Sayare TV
Frequency 594Mhz

  • ADN-KTN
  • ADN-NTV
  • ADN-QTV
  • ADN-Citizen
Frequency 602Mhz

  • Signet KBC1
  • Signet Joy TV
  • Signet Hope TV
  • Signet K24 TV
  • Signet EATV
  • Signet Kass TV
  • Signet Kiss TV
  • Signet Ebru Africa
  • Signet Heritage
  • Signet Njata TV
  • Signet Kingdom
  • Signet Revival
  • Signet Aviation
  • Signet Hope Channel
  • Signet Church
  • Signet Sayare
  • Signet Deliverance
  • Signet YOUTH TV
  • Signet Lolwe TV
  • Signet KTS
  • Signet Farmer
  • Signet WTV
  • Signet WTV
  • Signet GE TV


Frequency 762 Mhz, Another Bamba TV frequency

  • Bamba –Justice
  • Bamba Movie
  • Bamba Smile
get the difference btn TV stations n channels. Uache ujinga I see Bamba TV up there!
 
New Broadcaster To Challenge Dstv and Kwese: Meet AzamTV
Posted Sun Mar 11 2018 by Farai Mudzingwa (@FariM9)Read 15 Comments
Econet Media launched Kwese TV in Zimbabwe and now the Tanzanian Bakhresa Group of Companies is bringing AzamTV to our local shores.

Azam: A bit of backgorund
The Bakhresa Group of Companies is owned and chaired by one of the wealthiest Tanzanians: Said Salim Bakhresa. The group of companies has dabbled their trade in food products, road transport services, and media among other things. AzamTV started broadcasting in 2013 and right now they are available in Kenya, Malawi, Tanzania, Burundi and Uganda.

They offer a bouquet of over 85 channels. It seems there is a bit of everything for everyone as channels include: BBC News, Aljeezera News, Bloomberg, MTV Base, Nickelodeon, Bollywood content, African movies, Fox life, Fox Entertainment, Nat Geo Gold, Discovery Science, Discovery Investigation. On the sports front Azam has Fox Sports, Manchester United TV, Real Madrid TV and Liverpool TV.

When will Azam start broadcasting in Zimbabwe?
Imminently is the best answer we can give you right now. Bakhresa Group representative, Yusuf K Kamau mentioned that they are ready to roll and are basically waiting for permission:

Advertisement


The application procedures are already underway and we are in the process of ensuring that we meet all the requirements. We want to bring this product to Zimbabwe as soon as yesterday, so basically if we get the green light, we will unroll the project.

The cheapest bouquet will be accessible for $5, whilst the most expensive will be going for $15 and will offer over 100 channels, apparently.

You may be wondering if the most wanted English Premier League is on offer but unfortunately you won’t be able to watch that on Azam. But with their most expensive bouquet expected to be $15/month it would have been shocking if Azam had secured rights for the most sought after football league in the world.

As mentioned above, Kwese came onto the scene last year and it offers a $29, $9 and $5 bouquets for 30, 7 and 3 days respectively. Kwese is more accessible than Dstv right now owing to the fact they accept Bond notes . The EPL and soccer fans are yet to be swayed from Dstv though, due to the strangle hold Dstv has on the rights to air more live matches so it will be interesting to see where Azam will fit in the Pay TV market alongside both Dstv and Kwese.

Nonetheless, I do think AzamTV’s entry into the market will be positive because at the end of the day consumers can never have too much choice. I’m particularly interested in seeing what $5 will get subscribers. It will probably be better than what is on offer on our national broadcaster so I guess there may be a market for Azam What are your thoughts? Is there a market for a third TV subscription service in Zimbabwe?

AzamTVDstvKwese TV
Azam TV is a TV channel owned by Tanzanian Bakhresa Group of Companies. It started broadcasting in 2013 and they are available in Kenya, Malawi, Tanzania, Burundi, and Uganda. In Zimbabwe, the channel awaits permission to start operating. Read More About AzamTV



share
Tags: Azam TV, DStv, DStv alternatives, Kwese, PayTV

New Broadcaster To Challenge Dstv and Kwese: Meet AzamTV - Techzim
azam.jpg
 
Freedom of expression, media freedom...

Huo ushauri wako katu hatutayatilia maanani. As long as hazienezi mambo ya chuki, shida iko wapi? Nimekuelezea bayana kwamba chemichemi ya chuki za kikabila Kenya haitokani na matangazo kwenye vyombo vya habari, manake yalikuwemo hata miaka ile vyombo vya habari vilikuwa vimedhibitiwa na serikali.....miaka ya 70 na 80 ilikuwa hatari.

Kwa kweli hapo Collo Mzii kidogo ameteleza kutaja hata zile tv steshens ambazo si za Kenya, lakini bado ameangazia ukweli jinsi ilivyo. Kenya ina TV stations zaidi ya 50!
Nilisahau kabisaa kutaja pia huduma za

Zuku tv. Wao pia wanamiliki stesheni zaidi ya 10 and it is the only company offering the service via fiber (in addition to satellite) in the region, and one of the few in the continent.

Zuku Packages, Channels and Zuku Customer Care Contacts
Ukinionyesha TV station inayo miliki aina hizi za camera hapo Kenya please ni tag nahu mjadala nitasema mmeshinda. Sito kuja tena JF
1377169_224621101037472_893234737_n.jpg
 
Freedom of expression, media freedom...

Huo ushauri wako katu hatutayatilia maanani. As long as hazienezi mambo ya chuki, shida iko wapi? Nimekuelezea bayana kwamba chemichemi ya chuki za kikabila Kenya haitokani na matangazo kwenye vyombo vya habari, manake yalikuwemo hata miaka ile vyombo vya habari vilikuwa vimedhibitiwa na serikali.....miaka ya 70 na 80 ilikuwa hatari.

Kwa kweli hapo Collo Mzii kidogo ameteleza kutaja hata zile tv steshens ambazo si za Kenya, lakini bado ameangazia ukweli jinsi ilivyo. Kenya ina TV stations zaidi ya 50!
Nilisahau kabisaa kutaja pia huduma za

Zuku tv. Wao pia wanamiliki stesheni zaidi ya 10 and it is the only company offering the service via fiber (in addition to satellite) in the region, and one of the few in the continent.

Zuku Packages, Channels and Zuku Customer Care Contacts
Kwa hiyo solution ya kuondoa ukabila ni siasa tu! mimi nakataa niliwahi kuishi na wakenya njee ya Kenya walikua wana juana kwa makabila kuliko wa Tz na ushirikiano wao ulijigawa kikanda zaidi. Mtajua mtakavyo tatua hiyo shida yenu ila kama mkija Tz kuomba ushauri sisi tuliwezaje mnaweza mkapata pa kuanzia.

Hivi hiyo Zuku wamiliki ni kina nani, maana kuna bilionea mTz anaitwa Ali Mafuriki anatajwa kumiliki pia. Ila kwa Africa Azam Tv amewekeza sana nina hakika top ten kwa idadi ya subscribers hakosekani and ina just less than 6 years.
 
Back
Top Bottom