bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Nilitaka kushangaa King Kene asitupie kidiss 🤣🤣🤣Mtaachana Tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kushangaa King Kene asitupie kidiss 🤣🤣🤣Mtaachana Tu!
kwahio wanajioa wenyewe kumbe.Kuna hizi couple siku hizi mtu mmoja ana account mbili anajiuliza mwenyewe na kujijibu, moja ina profile picture ya mwanamke nyingine mwanaume.
Kuna mazingira labda yamewekwa someone to get relief Kwa kujulisha ulimwenguSijajua sasa la kwenu limekaaje 🤣🤣ila dada kama ni hvo kwnn haya mapenzi ya promotion yanakua one sided....yaan Moja ndo anakua anahangaika sana kuonyesha mambo yapo byeee
financial services wangu ni mpole kila mahali.Unamuona mtu ni mpole kumbe huko PM anafanya makubwa
Hongereni
JamiiForums balaa! Noma.kwahio wanajioa wenyewe kumbe.
Punguza wivu kwenye compressor...🤣Hahahahahahah yupo mmoja alikuja maskan ni pisi ya hatar alipoenda chooni mmmh,ilibidi and baadae nimshauri ajitahid kunywa maji kwa wingi
Duhhhh....😳Penzi likiwa jipya kila ukitia mborlo kwenye maQu unahisi joto as if umetia kwenye chupa ya chai iliyomwagwa chai ya maziwa asa bado inatoa ule mvuke wa joto la kwenye chupa
Pole.Kuna mwamba yupo nje huko nilikuwa tayari kuacha kazi for him ....niseme ukweli nilikuwa na hisia nae kiukweli lakini haikutokea bahati ya kuungana....sikuzote naamini kitu kikikuponyoka ujue hakikuwa chako.Japo niliumia kimtindo maana tulipanga mengi na aliniaminisha😥
Huyo mwamba alikua ndio mimi mkuu...😋Kuna mwamba yupo nje huko nilikuwa tayari kuacha kazi for him ....niseme ukweli nilikuwa na hisia nae kiukweli lakini haikutokea bahati ya kuungana....sikuzote naamini kitu kikikuponyoka ujue hakikuwa chako.Japo niliumia kimtindo maana tulipanga mengi na aliniaminisha😥