Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Dada ulipenda, pole ndio ilikuwa first love?Ujue mtu kuwa tayari kuacha kaz ee😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada ulipenda, pole ndio ilikuwa first love?Ujue mtu kuwa tayari kuacha kaz ee😥
Pole sanaJapo imebaki stori maana nina mpenz ila ni Kumbukumbu yenye maumivu kwangu
Huwa siamini kama wadada huwa wanapenda ..sijui kwanini siaminiDada ulipenda, pole ndio ilikuwa first love?
Wanapenda ila uwe na sababu ya kupendwa.Huwa siamini kama wadada huwa wanapenda ..sijui kwanini siamini
Wapi hapo nimetumbua macho?Half american unatumbua mimacho kisa nini?
🤣🤣Jeiefu buanaHahahahahaha..
Sidhani...na hapo ktk sababu ni Hela tu kama huna Hela huwezi kupendwa na mdada Mkuu..wao wanapenda hela tu sio mtuWanapenda ila uwe na sababu ya kupendwa.
.hahahahaha...tu enjoy🤣🤣Jeiefu buana
🤣🤣🤣🤣Duuuh hiyo ni shida kwenye medulla oblongataAnawaringishia wabaya wake
Wengi ni hela na kama huna hela huo msoto wake ni hatari, ogopa.Sidhani...na hapo ktk sababu ni Hela tu kama huna Hela huwezi kupendwa na mdada Mkuu..wao wanapenda hela tu sio mtu
Barikiwa sanaPole sana
Hahahahahaha..ndio maana mie siamini kama wadada huwa wanampenda mtu ...yaani akae tu akupende ? Wee hiyo ngumuWengi ni hela na kama huna hela huo msoto wake ni hatari, ogopa.
Kupenda tunapenda ila shida ni namna gani wamsogeza huyo mtu maishani mwako.....mtu amekukubali then una mwambia ‘nakuhurumia maana mi sina moyo wa kupenda😳☹️🙌🏿Hahahahahaha..ndio maana mie siamini kama wadada huwa wanampenda mtu ...yaani akae tu akupende ? Wee hiyo ngumu
Ubarikiwe sana mom....niliapa sitoamini mtu tena kiboya....ninae mpenzi ila Akibaki Sawa akienda sawa tuUsije kujaribu hata kuwaza tena hivo....Acha kazi Kwa sababu una mipango yako mingine ya pesa, Ila sio Kwa sababu ya toto la mtu🤣🤣
Tusichokijua ni kwamba hawa wanaume wanapenda wanawake wenye financial freedom......hayo mengine wanajilisha upepo
Hapo kwenye kua na Mpenzi[emoji28][emoji28]Japo imebaki stori maana nina mpenz ila ni Kumbukumbu yenye maumivu kwangu
Hahahaha..sio kweli..nyie mnapenda hela sio mtu..ndio maana mizinga mingiiii mpk inakeraKupenda tunapenda ila shida ni namna gani wamsogeza huyo mtu maishani mwako.....mtu amekukubali then una mwambia ‘nakuhurumia maana mi sina moyo wa kupenda😳☹️🙌🏿
🤣🤣🤣kwanini? Sitakiwi kuwa nae mkuu?Hapo kwenye kua na Mpenzi[emoji28][emoji28]