[emoji3][emoji3][emoji3]shangazi alisemaga atafanya tu sajari ya tumbo!anataka avae vipanchunchu!!amkomesha mama Nonoo!!!Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minene ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]
Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
Wee!muulize price shoooo!!!anajua mziki wake!Uwoya na lulu nakubali...ila mobero hapana angekuwa mtamuu asingefichwaa kama dawa za Arv[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]
Rosay kaonja onja kaona mmh mbona havieleweki chungu or tamu, kasepa hivi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hutakaa umsikie rosay asilani, imetoka hiyoo
Hahahaaa. Mkwe wangu sio#kataawahuni
HamisaWewe kwako ni nani mzuri kwa mademu wa Domo?
Hahahahaaa. Mimi damu ya kichaga imeniingia sana. Silipii dhambiEeeh tumchangie kidogo ...dada kafanya kazi kubwa yule kwenye hii nchi hata mama la mama anajua[emoji1787]
Sio kwa kucheza kule dada. Nikasema naona Heineken ziko mahala pakeKuna nini kwaniiii
Nimelewa nitarudi kesho
Mkwe anauza ripoti za ikulu😅Hahahaaa. Mkwe wangu sio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Abee!!!siku nimeweka picha yako kwa status nkaambiwa kwenu wote wazuri!!!Mimi tena ahsante[emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!!
Daaah kuwa na hurumaTrust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.
Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.
Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.
Kuna mtu anakubali ukweli huu?
Sema hata mimi nasifiaga sana. Rafiki zangu wanasemaga sinaga mtu mbaya kila mtu kwangu mzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nikiwaambia mtu fulani mzuri huwa hawaamini mpaka wamuone wenyewe na wanasemaga wengi ninaowasifiaga ni wa kawaida tuRinga bwana wee!we live only once mi sinaga kusifia Mtu akifa,sionagi shida kumsimamisha mtu na kuanza kumsifia atii!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikamwambia anipe kaka ake anaruka rukaMkwe anauza ripoti za ikulu[emoji28]
Wape wape vidonge vyao.Mmhh!kumbe mwanga anaogopa kuwangiwaa...hahaaa!!
Alimuua nani?au marehemu Layla Khatibuu eehhh!!!maana alikuaga tishio yule Dada kiukweli enzi hizooo!!!
Bimkubwa atulie tuu!mkuki kwa nguruwe!!!
Hahaahaaj "hata akisuka vinywele vinafumuka[emoji1787]" ila nasma RIPNasma khamis kidogo, layla sina uhakika saana, ila khabar za mjini ni alimpiga juu bimkubwa, ile sanamu la michelin ilimgonga mnooo..
Lina machataIla boroo lake lina siri nyingi[emoji2960][emoji2960][emoji2960]