New couple in town
Ila huyu jamaa mimi nilistukia kitambo hiyo kitu anakula......
katoto kenyewe bado kabichi ukikaosha vizuri kanang'aa
hii ni sawa na kuokota dodo chini ya mti.....
hata ningekuwa mm ningekala
Yani niache katoto kabichi hako!!???
That is abomination repugnant to justice and morality
Yani Zuchu ni mtoto mbichi dah huyo demu kilomita ziko ziko mbali sana
 
Zuchu asibebe tu mimba, mahusiano na boss mara nyingi huishia pabaya sana
Kabisaa yaani akibeba mimba imekuba kwake mazima!atajuta kuzaliwa na ataona rangi zote!
Yaani Zuchu na akifanya masikhara mziki utaishia hapo!!

Hajajifunza yule kaka sijui ana nini maana sio kwa wanawake kujilengesha hukoo!!!
 
Ila huyu jamaa mimi nilistukia kitambo hiyo kitu anakula......
katoto kenyewe bado kabichi ukikaosha vizuri kanang'aa
hii ni sawa na kuokota dodo chini ya mti.....
hata ningekuwa mm ningekala
Yani niache katoto kabichi hako!!???
That is abomination repugnant to justice and morality
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]jamani!ila mshikaji tatizo player sana,yaani akimtia mimba baasi kamtelekeza Dada wa watu
 
Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
 
Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
Nakuunga mkono
 
HIvi ni kweli icho kibinti kilikua bikra
Hyo siri ya kambi!yawezekana kabisaa

Ila mziki wa bongo ukiwa binti inabidi utoe sana mbunye,maana Nandera alikua na jasiri,kabla akina mwasiti wote kushine kule mwanzoni walikua wanaliwa, Ray C mpk aligombana na Zama, Jide ndo enzi hizo it was history walienda south wakalala room moja jasiri na jide habari zikafika bongo!!!

Queen alikuwa anadate na mzee wa yoo!
Zuchura nae kaona bora ajiongeze la sivyo atachunda buree!
 
Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
Simba akizidiwa hata majani hulaa...[emoji1][emoji1]ingawa Zuchu yupo yupo tu!ila kibongobongo yule anaweza akamla ,fisi yulee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!

Unajua mpk wamegombana na yule binti mtangazaji ingekua Kik wasingegombana na gari kapokwa!
 
Kabisaa yaani akibeba mimba imekuba kwake mazima!atajuta kuzaliwa na ataona rangi zote!
Yaani Zuchu na akifanya masikhara mziki utaishia hapo!!

Hajajifunza yule kaka sijui ana nini maana sio kwa wanawake kujilengesha hukoo!!!
Hafu zuchu alikuwa anakuja vizuri kimziki ange focus na hyo kazi yake diamond mwenyewe juju lake ni kulala na wanawake aisee. Yani asijiloge kumzalia alifikiria atatulia aisee wanaume kumzalia sio tiketi ya kupendwa
 
Hafu zuchu alikuwa anakuja vizuri kimziki ange focus na hyo kazi yake diamond mwenyewe juju lake ni kulala na wanawake aisee. Yani asijiloge kumzalia alifikiria atatulia aisee wanaume kumzalia sio tiketi ya kupendwa
Mziki wa bongo utimu ndo unaharibu ukiwa mtoto wa kike ili utoboe kimziki lazima utembee na wadau wa mziki...Zuchu nafikir kaona njia ya yeye kua kwenye chati ni kutoka na boss tu hakuna namna!ila ataachwa kama wengine

Mimba anaweza asibebe maana bimkubwa atakua anampa biti kidogo lakini akibeba mimba ameishaa!
 
Back
Top Bottom