Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]huo wimbo wa achia ngazi Bibi mchuma unaondoka nilikuwaga mtoto enzi hizo nacheza rede kwa kwenda mbele hafu taarabu zilikuwaga zinanoga, I think Khadija kopa akamu mjibu Huyo Nasma khamisi kuhusu mwanamke mazingira Bibi sio kunuka kikwapa"achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo, achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo" [emoji443][emoji445]
Umbea ukiwa unawahusisha watu wa zamani kitu code zinajifungua zenyewe, ukikutana na umbea unahusisha watoto wa miaka hii, naishia kufunga uzi tu, maana mambo hayashuki kabisa.
Si anazaa kila mtu kuzaanna wanawake watatu tofautiUna ushahidi na hili?[emoji849][emoji849]
Then why!,!,yule presenter agombana na bi Dada?na aporwe gari?km sio kweli?Hii habari mbona ilisambaa Instagram ya zuchu na diamond two months ago mange ndio kaipost juzi Ili ku boost application yake ila ig watu walisha I discus na haikuwa breaking news
Eti yule Nasma Muimba taarabu mwrnziweMmhh!kumbe mwanga anaogopa kuwangiwaa...hahaaa!!
Alimuua nani?au marehemu Layla Khatibuu eehhh!!!maana alikuaga tishio yule Dada kiukweli enzi hizooo!!!
Bimkubwa atulie tuu!mkuki kwa nguruwe!!!
Wewe kwa akili yako kabisa unaamini Diamond na Zuchu wanatoka kimapenzi?Hii habari mbona ilisambaa Instagram ya zuchu na diamond two months ago mange ndio kaipost juzi Ili ku boost application yake ila ig watu walisha I discus na haikuwa breaking news
Niamini nisiamini hainiongezei chochote pia ni maamuzi Yao, pia diamond ni kitombile chupi mkononi so haishangazi kufanya hivo mkuuWewe kwa akili yako kabisa unaamini Diamond na Zuchu wanatoka kimapenzi?
Aliya walipangiwa nyumba na diamond like apartment hivi na huyo Aaliyah Hadi mimba ya diamond inadaiwa alitoa kubwa tu Bora alivofanya hivo maana angekuwa single mother Sasa hivi. So now zuchu ndo mama mjengoThen why!,!,yule presenter agombana na bi Dada?na aporwe gari?km sio kweli?
Siku hizi kilometres sio shida,,huwa zinarudishwa nyuma.Yani Zuchu ni mtoto mbichi dah huyo demu kilomita ziko ziko mbali sana
Bi. Love kila akijiangalia anaona nyuma kapigwa pasi shep hovyo, alimaindi mnooo..Sanamu la Michelin bi mkubwa aliumia sana alipousikia [emoji3][emoji3][emoji3]
Umauti ni jambo lenye kutia huzuni, bad thing is umauti haukwepeki, wala haubagui,hauangalii kama unapendwa na jamii au inakuchukua, wakati ukifika unakubeba, kikubwa ni kuishi vizuri na watu, kutenda mema(yale anayopenda muumba)Mpk Leo naitazama sura ya my warumi siamini kama ameleft in peace!naumia sana nakumbuka pacha wake alivyokua Analia kama mtoto mdogo!!daah!
Yes bi layla khatibu, juzi kati niliona usiku wa nini sijui, ilikuwa ni taarabu tupu, nikamuona mwanae bi layla kama sikosei.[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2] [emoji11]makaveli uko vzr sana,baasi alikua na wapinzani wawili huyo wa achia ngazi,na mwingine mule ndani ya bendi yao wenyewe aliimbaga Kijeba
Hata ingekuwa mimi ile ingeniuma, utani unaoendana na ukwei unauma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji11]ile Sanamu la Michelin acha kabisaa!bonge la ngoma yaani alimpiga na kitu kizito kichwani mpk akakiskia
Hivi mwanamke mazingira ilitoka kipindi nasma bado yu hai? Sina hakika..[emoji23][emoji23][emoji23]huo wimbo wa achia ngazi Bibi mchuma unaondoka nilikuwaga mtoto enzi hizo nacheza rede kwa kwenda mbele hafu taarabu zilikuwaga zinanoga, I think Khadija kopa akamu mjibu Huyo Nasma khamisi kuhusu mwanamke mazingira Bibi sio kunuka kikwapa
Kweli una pointi mzee mwenzangu.Si anazaa kila mtu kuzaanna wanawake watatu tofauti
Aaliyah .. umenikumbusha enzi zangu nachungulia movie za kiutu uzima, kuna clip niliona ikabidi nikatafute nitizame zaidi, kabinti kanafaa kulumagia, ndio hivyo kako hukoooo maandishi ma3.Aliya walipangiwa nyumba na diamond like apartment hivi na huyo Aaliyah Hadid mimba ya diamond alitoa kubwa tu Bora alivofanya hivo maana angekuwa single mother Sasa hivi. So now zuchu ndo mama mjengo
Hahaha!ilikua 1999nakumbuka tunakaa mwananyamala khadija alitoa Y2K kumjibu Nasma ,wakatoa albamu nzima ,wakapambanishwaga pale Vijana Social hall that day nakumbuka kiingilio kilikua buku ,mtaa mzima walienda kasoro Mimi mtoto wa Ustadh na msomi wa kitaa[emoji1][emoji1]!!![emoji23][emoji23][emoji23]huo wimbo wa achia ngazi Bibi mchuma unaondoka nilikuwaga mtoto enzi hizo nacheza rede kwa kwenda mbele hafu taarabu zilikuwaga zinanoga, I think Khadija kopa akamu mjibu Huyo Nasma khamisi kuhusu mwanamke mazingira Bibi sio kunuka kikwapa