Aliya walipangiwa nyumba na diamond like apartment hivi na huyo Aaliyah Hadi mimba ya diamond alitoa kubwa tu Bora alivofanya hivo maana angekuwa single mother Sasa hivi. So now zuchu ndo mama mjengo
Aseehh!ila mondi anapenda kavu kavu[emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]!!!alikua anajiona mama mjengo!nafkiri kwa Zuchu yupo kimkakati zaidi!!!km walivofanya kwa Donna
 
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee mbona ilikuwa hatari sana zama hizo
 
Aaliyah.. umenikumbusha enzi zangu nachungulia movie za kiutu uzima, kuna clip niliona ikabidi nikatafute nitizame zaidi, kabinti kanafaa kulumagia, ndio hivyo kako hukoooo maandishi ma3.
Ulishindikana tabia mkuu
 
[emoji1][emoji1][emoji1]kuwapelekesha lazima yeye si mama mjengo!!!

Sasa hivi mama Dangote kakutana na wa zenji kawapiga juju watoto wa wanawake wenziwe sasa hivi kafika kwa mjanja mwenziwe!
Yetu macho!
Domo kwenye maswala ya kuchungulia vibuyu usitanie kabisa
 
Aseehh!ila mondi anapenda kavu kavu[emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]!!!alikua anajiona mama mjengo!nafkiri kwa Zuchu yupo kimkakati zaidi!!!km walivofanya kwa Donna
Yes diamond ni kavu, huwa nawaza sisi wanawake huwa tunafikiria nini, Yani mtu anatoka na shoga ako na wewe unajipeleka tu hapo hapo.
But kwa zuchu ni next victim wa Diamond aisee
 
Ulishindikana tabia mkuu
Kabisa mkuu, nashukuru mungu nimebadilika kwa asilimia kubwa mnooo, hapa nilipo namshukuru saana mungu, kila nikitizama niliyotenda nyuma, kama umauti ungenikuta bila kutubu walau robo sijui ingekuwaje!! [emoji848][emoji85]
 
Mmhh!kumbe mwanga anaogopa kuwangiwaa...hahaaa!!

Alimuua nani?au marehemu Layla Khatibuu eehhh!!!maana alikuaga tishio yule Dada kiukweli enzi hizooo!!!

Bimkubwa atulie tuu!mkuki kwa nguruwe!!!
Think tetesi nilizikia
Enzi hizo nasma kidogo yuko hot [emoji91] [emoji3062] sana.
 
Yes ulitoka kipindi hicho hicho akiwa hai,
Maana bi Khadija alikuwa anamjibu Nasma, na Nasma akimwimbia achia ngazi mchuma unaondoka na kuonyesha jishape lake matata, Nasma alikuwaga mzuri na hyo taarabu ilibamba hatari
 
Bi. Love kila akijiangalia anaona nyuma kapigwa pasi shep hovyo, alimaindi mnooo..
Na kweli Michelin yaani ukiangalia lile sanamu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!
 
Ameen Mungu atupe mwisho mwema!!!
 
Yule Layla mashallah alikua mrembo jamani!!!Yaani kafa na utamu wake
 
Siku hizi kilometres sio shida,,huwa zinarudishwa nyuma.
[emoji2][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji16]daah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee mbona ilikuwa hatari sana zama hizo
Mnooo!taarabu iko kwenye kiki...yaani pale Vijana Social Hall nimekosea ndo ulikua ukumbi sasa ,enzi hizoo!!
 
Industry hii inabidi uwe mzima kujiweka sawa kwa Babu au kwa kalumanzila
Wanapigana mishindo ya kichawi balaa...yaani industry za mziki bongo ujue kucheza na tunguri vzr!!la sivyo utaishia hewani tuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…