Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nimetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavyoonekana kwenye risiti. Nimekabidhi ofisi ya Mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehemu ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 Januari ufike Mbeya tarehe 14 Januari asubuhi aliekwenda kupokea ofisini Mbeya akaambiwa haupo.
Kilichofuata ni kuzungushwa na kujibiwa ovyo kutokupokelewa simu, tarehe 15 nikaenda Mbezi nikaambiwa gari zetu yani New Force hazina Matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama Tan boy hivyo wanasahau kushusha mzigo, nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Hiyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuwemo humo.
Mzigo nikaambiwa umeachwa Makambako, nikajiuliza huu ndio utaratibu wa New Force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa Dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tu thamani ya mzigo wako. Wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu ovyo. Kuna jamaa nilipotoka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo hutoupata nenda Polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.
Mzigo wangu jana 16 Januari ukashushwa Makambako na New force inayotoka Tunduma, leo mchana kuna msamaria mwema pale Makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika Mbeya tangu tarehe 12 hadi leo.
Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanadhulumiwa.?
Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nimekabidhi kwake.
MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA HIYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI, HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
Kilichofuata ni kuzungushwa na kujibiwa ovyo kutokupokelewa simu, tarehe 15 nikaenda Mbezi nikaambiwa gari zetu yani New Force hazina Matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama Tan boy hivyo wanasahau kushusha mzigo, nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Hiyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuwemo humo.
Mzigo nikaambiwa umeachwa Makambako, nikajiuliza huu ndio utaratibu wa New Force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa Dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tu thamani ya mzigo wako. Wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu ovyo. Kuna jamaa nilipotoka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo hutoupata nenda Polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.
Mzigo wangu jana 16 Januari ukashushwa Makambako na New force inayotoka Tunduma, leo mchana kuna msamaria mwema pale Makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika Mbeya tangu tarehe 12 hadi leo.
Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanadhulumiwa.?
Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nimekabidhi kwake.
MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA HIYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI, HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.