New Force/ Golden Deer acheni uhuni kwa mizigo ya abiria

New Force/ Golden Deer acheni uhuni kwa mizigo ya abiria

Huu uzi ni kama nilishausoma siku kadhaa zilizopita. Nadhani mleta uzi unastahili kukemewa. Unachokifanya sasa ni upuuzi. Kama kuna tatizo zaidi nenda mahakamani upate haki yako. New Force wakikugeuzia kibao utaipa taabu familia yako. Acha hiyo nia ovu.
 
Kuna siku nilisafirisha mzigo uzito wa kg15 una kaupana 90X50 ila nikaambiwa elfu 60 nikaomba sababu hakuna nikawauliza gunia la maindi la kilo 100 tunalipa 30000 itakuwaje haka kamzigo.

Mabasi yana tatizo kwenye wafanyakazi wake sio uongozi wa juu
Isha nitokea Arusha kuna kampuni moja nilikuwa natuma mzigo mkoa fulani, Sasa nisha lipia mzigo, ila Kondakira kakataa katakata hatabeba mzigo wangu. Sasa uzuri nilikuwa na namba ya Tajiri kabisa na najuana naye tusha kutana sehemu, nkwanza action ya kwanza nika mtumia kondakita sms yenye number ya tajiri wake, aisee aliomba na kuomba na kuomba, hadi akatumia watu wengine kuniombea msamaha, by the way nikaacha naye make alikuwa ndio mwisho wa ujanja wake kama ningeongea na tajiri wake.

Ni kweli hawa makonda na Dereva hawana ethic kabisa full wahuni,
 
Manzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea

Pole mkuu
Wanajua biashara na thamani ya mteja
 
Makampuni ya bus janja nyingi sana. Ukipeleka mzigo wanauliza thamani ya mzigo ukisema laki 3 wanaomba 30000 wanadai ni 10% ya thamani ya mzigo ndio wanaku charge

Ila ukienda na mzigo wa 30000 au chini ya laki hawapigi tena 10% wanataka uwape 10,000. Changamoto hakuna kigezo rasmi ya kutoza namna yao ya usafirishaji.

Mfano ni allys star
 
Hapa TCRA wamezembea, wao ndio wanaotoa leseni za kusafirisha mizigo. Mizigo inasafirishwa kutokana na uzito wake. Sio kutokana na thamani yake.


Makampuni ya bus janja nyingi sana. Ukipeleka mzigo wanauliza thamani ya mzigo ukisema laki 3 wanaomba 30000 wanadai ni 10% ya thamani ya mzigo ndio wanaku charge

Ila ukienda na mzigo wa 30000 au chini ya laki hawapigi tena 10% wanataka uwape 10,000. Changamoto hakuna kigezo rasmi ya kutoza namna yao ya usafirishaji.

Mfano ni allys star
 
Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nmetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavo onekana kwenye risiti. Nmekabidhi ofisi ya mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehem ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 jan ufike mbeya tarehe 14 jan asubuhi alie kwenda kupokea ofisini mbeya akaambiwa haupo.
View attachment 2489201
Kilicho fata ni kuzungushwa na kujibiwa hovyo kuto kupokelewa simu tarehe 15 nikaenda mbezi nikaambiwa Gerizetu yani new force hazina matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama tan boy ivo wanasahau kushusha mzigo nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Iyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuemo humo.

View attachment 2489203
Mzigo nikaambiwa umeachwa makambako nikajiuliza huu ndio utaratibu wa new force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo. Kuna jamaa nilipo toka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo huto upata nenda polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.

Mzigo wangu jana 16Jan ukashushwa makambako na new force inayotoka tunduma leo mchana kuna msamaria mwema pale makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika mbeya tangu tarehe 12 hadi leo. Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanazulumiwa.? Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nmekabidhi kwake. MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA IYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
Swrikali kupitia Shirika la posta na TCRA kama sikosei walishatoa katazo la mabasi kusafirisha mizigo bila kibali kutoka kwa Shirika la Posta ila naona linapuuziwa.
 
Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?

Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.

[emoji28][emoji28][emoji28] kwani mitandao imewekwa kwa lengo gani mkuu.. kutangaza n.k
Wacha atujuze wengine hatupo kwenye hyo mitandao aliyoweka tupo tu huku JM.
 
Manzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea

Pole mkuu

Em tuseme KIMBINYIKOOOOOO[emoji28][emoji28]🫡
 
Back
Top Bottom