New Force/ Golden Deer acheni uhuni kwa mizigo ya abiria

New Force/ Golden Deer acheni uhuni kwa mizigo ya abiria

Kuna hii hali ya no morale, no job satisfaction, passengers captivity, motivation poor, extreme exploitation, maringo ya waajiri, frustrations za matajiri, umafia, supervision poor, uongo, yaani vurugu tele, mtanzania anataka close supervision na monitoring kila dakika
Mchina hakulipi mshahara, utajilipa mwenyewe hapo ofisini
 
We ndo yule uliepost Facebook juzi juzi hapa? Au ume I copy kule TBB,TNB


Weka source ulipotoa habari Kama sio wewe au Kama Ni wewe usaidike hapa hapa
Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nmetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavo onekana kwenye risiti. Nmekabidhi ofisi ya mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehem ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 jan ufike mbeya tarehe 14 jan asubuhi alie kwenda kupokea ofisini mbeya akaambiwa haupo.
View attachment 2489201
Kilicho fata ni kuzungushwa na kujibiwa hovyo kuto kupokelewa simu tarehe 15 nikaenda mbezi nikaambiwa Gerizetu yani new force hazina matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama tan boy ivo wanasahau kushusha mzigo nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Iyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuemo humo.

View attachment 2489203
Mzigo nikaambiwa umeachwa makambako nikajiuliza huu ndio utaratibu wa new force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo. Kuna jamaa nilipo toka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo huto upata nenda polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.

Mzigo wangu jana 16Jan ukashushwa makambako na new force inayotoka tunduma leo mchana kuna msamaria mwema pale makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika mbeya tangu tarehe 12 hadi leo. Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanazulumiwa.? Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nmekabidhi kwake. MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA IYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
 
Acha upumbavu mkuu,hii ni haki yake na anatumia push 🔙 kupata haki yake, service mbovu kama hii lazima iwe exposed na njia pekee ya consumers ni kutofanya nao biashara, hit them hard kwenye mifuko yao
 
Ukienda pale Manzese kwenye ofisi za ABC Bus Service unaweza dhani kuna malori yanakuja kupakia mizigo, maana ipo shazi. ABC hawana longolongo, bei zipo rafiki na mzigo hauna kudelay. ABC inakwenda Mbeya, tumeni mizigo huko, hawa kina New Force tutumie kwa kumpa konda au dereva ile kisela, ila kama ni official achana nao mpaka watakapojifunza customer care.
 
Manzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea

Pole mkuu
Yes mkuu hii ndio tunaita A1 service, mimi ni timu Sauli, ila welldone kwa Kimbinyiko, mdau mimi nimeshashawishiwa uzuri wa service yenu, going extra mile to satisfy the client, welldone
 
Hata kwenye bombadier. Obama akija Kenya kwa mara ya kwanza akiwa senator mizigo yake ilikuwa misplaced pia.

Obama loses luggage on first trip to Kenya

Ije kuwa kwenye mabasi ya bongo?
Usifananishe ndege na basi za bongo.
Ndege Kuna utaratibu na mizigo inakuwa scanned kuendea mwisho wa safari hivyo kama ulivadiki ndege ukaachwa Kwa vyovyote utakuja kwenye next flight.
Mbongo akiona mzigo umesahaulika basi tayari ashaanza kupanga Dili. Bila.kujiuliza mwenye mzigo alianzia safari wapi na mwisho wa safari ilikuwa wapi asaidiwe kufikiahiwa.
Tamaa imezidi.
 
Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?

Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Hili hata halijamkuta yeye Tapeli tu Moderator walipaswa kuweka ka title cha dokezo tu.

Hii story nimeiona Facebook wiki sasa imepita and guess what inavyoonekana muhusika ni mwanamke huyu jamaa ka copy na ku paste
 
Ana haki ya kutoa dukuduku lake na kuwaonya wengine wachukue tahadhari kabla ya hatari.

Makampuni ya usafirishaji yanatakiwa kuacha ubabaishaji. Scandinavia waliweza nyie mnashindwa nini?

DHL wanawezaje?
So unaamini hii kitu imemkuta yeye au huyu kaamua tu kuendelea kusambaza kitu ambacho kilishatatuliwa tena kilichomtokea mwanamke?

Groups zote za Facebook za biashara kuna hii taarifa na ina wiki sasa
 
Manzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea

Pole mkuu
Kimbinyiko wako vzr
 
Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nmetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavo onekana kwenye risiti. Nmekabidhi ofisi ya mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehem ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 jan ufike mbeya tarehe 14 jan asubuhi alie kwenda kupokea ofisini mbeya akaambiwa haupo.
View attachment 2489201
Kilicho fata ni kuzungushwa na kujibiwa hovyo kuto kupokelewa simu tarehe 15 nikaenda mbezi nikaambiwa Gerizetu yani new force hazina matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama tan boy ivo wanasahau kushusha mzigo nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Iyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuemo humo.

View attachment 2489203
Mzigo nikaambiwa umeachwa makambako nikajiuliza huu ndio utaratibu wa new force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo. Kuna jamaa nilipo toka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo huto upata nenda polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.

Mzigo wangu jana 16Jan ukashushwa makambako na new force inayotoka tunduma leo mchana kuna msamaria mwema pale makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika mbeya tangu tarehe 12 hadi leo. Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanazulumiwa.? Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nmekabidhi kwake. MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA IYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo.[emoji3064]

Haya ni majambazi
 
Usifananishe ndege na basi za bongo.
Ndege Kuna utaratibu na mizigo inakuwa scanned kuendea mwisho wa safari hivyo kama ulivadiki ndege ukaachwa Kwa vyovyote utakuja kwenye next flight.
Mbongo akiona mzigo umesahaulika basi tayari ashaanza kupanga Dili. Bila.kujiuliza mwenye mzigo alianzia safari wapi na mwisho wa safari ilikuwa wapi asaidiwe kufikiahiwa.
Tamaa imezidi.

Tambua nimefananisha misplacement tena si ya mzigo tu bali wa rais mtarajiwa wa Marekani.

"She introduced herself as Miss Omoro and explained that my bag had probably been sent on to Johannesburg by mistake."

Bottom line: misplacement hutokea sembuse kwenye basi la bongo?
 
Back
Top Bottom