New Force/Golden Deer kwanini ajali mnapata nyie tu?

New Force/Golden Deer kwanini ajali mnapata nyie tu?

Hawa madogo wanao bet
Morogoro, ilula, ipogoro, mafinga, makambako, Uyole

Waache watafanya newforce afirisike
Afilisike vipi wakati New force na golden deer japo ni kampuni moja Hawa ni mawakala wa viwanda vya mabus ya Kampuni za China.
Yaani Hawa ni kama show room vile.
Gari wanatoa kiwandani na Sio show room
 
Back
Top Bottom