Si kweliNa hazipati ajali. Scania ni salama sana
Zainab na zile IVECO zake, aliaga mashindano kwa style ya kuungua ungua hadi zikaisha.View attachment 2711283
Golden Deer 🦌 imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi . Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu...
Sauli ni mchumba tu kwa New ForceAchaneni na Sauli hamumuwezi
Siyo sababu.Pia wana bus nyingi sana barabarani kila siku..
Kampuni kama sauli ama katarama zinaingia mara 20 kwenye kampuni ya new force
Hujui km ni chama lá wana hão yawezekana mkataba yao imeisha au miundo mbinu yao mibovuView attachment 2711283
Golden Deer [emoji1662] imelala chali.
Ndani ya miezi mitatu mna zaidi ya ajali kumi . Achaneni na Sauli hamumuwezi, thaminini uhai, usalama na maisha ya abiria wenu...
Kwa mtu anayefahamu história na tafsiri ya neno "SAULI" hawezi pakia hilo busPia wana bus nyingi sana barabarani kila siku..
Kampuni kama sauli ama katarama zinaingia mara 20 kwenye kampuni ya new force
Sasa kwa nini wanaangukaanguka na kujikojolea hovyo njiani?Sauli ni mchumba tu kwa New Force
Sauli haiwezi mziki wa New Force hata kidogo
New Force ni kampuni kubwa hapa Tanzania
SAULI maana yake nini?Tueleze.Kwa mtu anayefahamu história na tafsiri ya neno "SAULI" hawezi pakia hilo bus
Madereva wa New Force ni changamotoSasa kwa nini wanaangukaanguka na kujikojolea hovyo njiani?
Si kweli.Wanafukuzana na majini.Halafu majini yenyewe yanawacheka tu.Si kweli
Tatizo la New Force ni madereva wako rafu sana barabarani
Zhong Tong ni basi za kazi kama Scania
Jini lipi mkuu?Si kweli.Wanafukuzana na majini.Halafu majini yenyewe yanawacheka tu.
Wanajifanya wajanja wanaingia njia za Watu bila hodiiiLabda wanapigwa juju
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anawaroga alie wazidi uchawi
SAULI.Jini mkata ngebe.Jini lipi mkuu?
biashara ya mabasi ina miba sana..Wanajifanya wajanja wanaingia njia za Watu bila hodiii
Afilisike vipi wakati New force na golden deer japo ni kampuni moja Hawa ni mawakala wa viwanda vya mabus ya Kampuni za China.Hawa madogo wanao bet
Morogoro, ilula, ipogoro, mafinga, makambako, Uyole
Waache watafanya newforce afirisike
Utamzidi uchawi mchina?anawaroga alie wazidi uchawi
Ishu ni madereva,mbona zinapata tuNa hazipati ajali. Scania ni salama sana