NEW! Nyayo za Mwanadamu wa kale, Zaidi ya 400 zagunduliwa Tanzania.

Tatizo sisi Tanzania huwa hatuna kawaida ya kuthamini vitu vyetu, hili tatizo lipo kuanzia juu hadi sisi watu wa kawaida
 
Huwezi kuta mgunduzi kutoka vyuo vyetu yani lazma kutoka nje
Kwa hii mikopo yakusoma au?
 
Tumedororesha utalii na sisi wenyewe hatupendi utalii, sizani kama kuna faida yoyote kwetu
 
vyovyote
basi wakiwa wanamaliza uwe unawahoji so what..?


Samahani Mkuu Nna Maswali Mawili Kama Si Matatu,Ni hivi;

MOSI: Unawezaje Kunitofautishia Kati Ya Taarifa Na Habari

PILI: Hii Iliyotetwa Hapa Je ni Habari Ama Taarifa!!???
NAOMBA KUWASILISHA.
 
Samahani Mkuu Nna Maswali Mawili Kama Si Matatu,Ni hivi;

MOSI: Unawezaje Kunitofautishia Kati Ya Taarifa Na Habari

PILI: Hii Iliyotetwa Hapa Je ni Habari Ama Taarifa!!???
NAOMBA KUWASILISHA.
me si mtaalam wa lugha lkn navyoelewa taarifa ni harifu/kuarifu habari ni matukio/tukio kama siko right kosoa tu
pili iliyotolewa hapa ni taarifa means mweka mada ametutaarifu tukio
 
He he he! mkuu vitu vyengine huonekana vidogovidogo lkn hupelekea kuja kubainika kwa vitu vikubwa let them work.
umeshajiuliza kwanini maeneo hayo tu(kwa hapa bongo) ndo kunapatikana vitu kama hivyo..?
"When they pile up like that they become evidence"-Quentin ARROW
 
m
Sio tope unalolifahamu mkuu, ni tope la majivu baada ya kulipuka volcano. Tope lake likikauka huwa extrusive igneous rock.
tu anawezaje kukanyaga tope la volcano ambayo haijakauka na asingue? likikauka mtu akipita footprint itatokea? kwa kipindi cha mamia au maelfu ya miaka,upepo,jua,mvua kwanini hizo alama zisifutike hadi leo hii? maana jiwe peke yake lina life span yake,itakuwa unyayo unaosubiria uje ugunduliwe?
 
NYAYO ZA MIAKA MILLIONI 3.5 WALIPIMA KWA KUTUMIA NINI.
 
Hilo swali hata mm nimejiuliza sana.
 

Kwa sababu ni tope la volcanic ash na sio lava. Lava ndio huwezi kukanyaga mpaka ikipoa na ikipoa inakuwa inaanza kuwa solidified.

Haikusubiriwa ije kugunduliwa, hizo nyayo zilikwepo zinaonekana ila hazikuwa zinafahamika kwa experts. Ndio maana mkazi ndiye aliyezitambulisha kwa watafiti waliokwepo katika projects nyingine.

Sometimes inachukua muda mwamba kubadilika hali moja kwenda nyingine. Mfano kama laetoli foot prints zilikuwa zimefunikwa na layers mbalimbali lakini baada ya erosion ya udongo ndipo zikafunuliwa. Kama mwamba ukifunikwa haupati agents wa erosion kama moving water, wind, na haipati weathering kwa haraka hivyo huweza kukaa muda mrefu labda kuwe na pressure na heat ndio vibadili kuwa metamorphic rocks.

Pia hazipo preserved 100% kwa sababu nothing stays permanently.

Na kumbuka its just 20,000 hiyo miaka ni michache sana. Just imagine laetoli ni 3.5 million.
 
NYAYO ZA MIAKA MILLIONI 3.5 WALIPIMA KWA KUTUMIA NINI.

Habari Mkulu

Laetoli footprints zipo kwenye mwamba wa volcano iliyolipuka kipindi cha 3.5 million. Hivyo mara ya kwanza walitumia potassium argon inayotumika kupimia volcano ililipuka kipindi gani. Hiyo ilikwepo kabla ya ugunduzi wa nyayo. Hivi sasa technology imechange na kuna njia nyingi za kupimia age ya miamba hasa igneous rock ni rahisi kupima kwa sababu ya nature ya elemnts zake ikitoka katika lava au magma.

Radiometric dating

Radiometric dating
 
Inamaa hao watu wa zamani walikuwa hawana sense organ mpaka watembee juu ya tope la volvano bila kuungua
 
kuna tofauti gani kati y radiometric dating na carbon dating. nipe vitu maana mambo yako haya.
 
Sasa ilikuwaje hizo nyayo zilishindwa kufutika miaka yote hiyo?
Mkuu unaambiwa walitembea juu ya majivu ya volcano na volcano ikishaganda unakuwa mwamba mgumu/ignous rock. Ni rahisi kukuta hizo remains juu ya huo mwamba kama huja undergo some changes for a long period of time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…