NEW! Nyayo za Mwanadamu wa kale, Zaidi ya 400 zagunduliwa Tanzania.

NEW! Nyayo za Mwanadamu wa kale, Zaidi ya 400 zagunduliwa Tanzania.

Hizi nyayo za watu wa kale zinapatukana afrika ila historia ya mtu mweusi inajulikana baada ya biashara ya utumwa kuanza

Good points. True words.

Ni kwa sababu na sisi waafrika tunajisahaulisha kuwa historia yetu duniani ndio ya kale zaidi.

Pia dini zinafanya watu waone historia imeanza hivi karibuni.

Ni kitu cha ajabu kukuta Africans wanashikilia historia ya slavery na colonialism na kuacha historia ya kabla ya kufika kwa wenyeji wa nje ya Africa.

We are pharaohs ambao tumejisahau.

Wamisri wenyewe wa sasa wanajiita watoto wa mafarao wakati Misri empire sio ya waarabu wala wazungungu bali ni mali ya Nubians na waafrica.

I don't know what's wrong.
 
Naomba kusema kuwa mwanasamu wa kwanza niyule aliumbwa na Mungu tatizo ni kuwa ni lini Mungu alifanya UUMBAJI ?
Nasema hayo kwa sababu AFRICAN HISTORY tumedanganywa sana maana vitabu ving3ti vimeandikwa na waezungu na wao waliandika kwa kujipendelea
Nasema hivyo kwa sababu mzungu analenga kumfuta mwafrika katika uso wa dunioa Ndiyo maana wazungu hawataki kukubali kuwa Mungu alimuumba ADAM na HAWA wakiwa ni WAAFRIKA, na kusema kuwa BARA LA AFRICA NI BLACK CONTINENT
Neno BLACK CONTINENT linaa maana pana
1) inamaanisha bara la waafrika
2) inamaanisha kuwa halijulikani
Katika point ya pili wazungu wanadai bara la Afrika halina kumbukumbu lakini wanajuwa kabisa kuwa mwanadamu wa kwanza aliumbwa to2kea afrika ,
Mzee wetu Ibreahimu aliishi afrika akina Mfalme Daudi au Sulemani, Hata yule malkia wa SHEBA ilipo YEMENI leo waliishi Waafrika hivi sikweli waafreika hatuna history, ni WAZI KUWA MWANASAMU WA KWANZA HAPA SUNIANI NI AFERICA, Iwe mwanadamu mifupa imepatikana kazi kazi kusini au kati kati ya bara la Afrika mwanadamu maisha yalianzia AFRICA,
 
2006 kulitokea eruption kwenye mlima huo swali je ina maana hizi nyayo hazikufunikwa tena?
Na kama ni za miaka na miaka ndio tuseme wameziona hivi karibuni?
Miaka yote haikigundulika?

Hawa wazungu wakipata cha kuiba basi watasingizia vingine
 
Back
Top Bottom