wakuu mwenye mapicha ya huyo ni wema atupie hapa wengne hatumjui
Nimechoka
sasa jamaa fujo zote alizofanya kuchukua mwanae leo anaambiwa wa Obasanjo.😅😅😅
Atamrudisha kimya kimya?
nacheka km mazuri vile
Siwema ukome sana hao wasanii hawana maana
Siwema ukome sana hao wasanii hawana maana
sijawahi kuona janamke jinga kama hili yaani unaongea kama vile innocent umeoneww na unataka huruma ya wwtu na still unasisitiza hujawqi kucheat na kufumaniwa but latter on unamalizia kua umembambikia mtoto ambae sio wwke lol omg what a https://jamii.app/JFUserGuide!!!
Ook! Usijal this is Jf
Huyo siwema hamnazo, si angetulia tu na obsanjo? Mtu kila kitu unapewa bado unahangaika na wavuta bhang, si mpaka pete alivalishwa na obasanjo? Hamuoni mwenzie k-lyn katulia anakula bata hana stress za vijana ndo akome
Klyn anakula bata tuuu mpaka tumenyweaaaa kweli angebaki tu obasanjo anajilia tu mapesaaaa
Kila ukija mwanza ulikua hulali peke yako!!!!
Klyn anakula bata tuuu mpaka tumenyweaaaa kweli angebaki tu obasanjo anajilia tu mapesaaaa
mkuu asante nimemuona huyo ni wema.
Nipe namba nifaudu mie kwangu haina makombo cjui kamekulia uhuru,mkanyenye,igogo,usmau au bugarika mana vibinti vya huko ni hatari unaweza uza shamba ukiwa ----
Hata sina namba yake huyo mjanja na mie mshamba wapi na wapiii