tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kwanza hy Ney kwa vyvyt tu atajuta mn kwa maisha ya sasa hv kupata mwanamke wa kulea watoto wacyo wake ni kushukuru Mungu,na cdhani km atampata labda watalelewa na mama yake
Na hapo ndo kwny utofauti kati ya she na he,kwavyovyote vile ubaya wa Ney hautaonekana Cwema ndo ataitwa Malaya ila wanaume mmnapasw kujua kitendo cha kumzalisha mtu pacpokumuonyesha upendo inauma sn na inaweza kuathiriht makuzi ya mtoto nna uhakika ht kusema mtoto c wa Ney ni hacra tu ili na Ney aumie..so wana JF tujifunze
Huyo dada nae machepele 2 sio wife material istoshe macho juu hakua tayari kua mke zaidi ya matanuzi n showoff.unaweza kuta yeye ndio aliforce kukaa kwa ney hpo lazma mtu akuchoke 2 mana hukua anakupenda kwa dhati