New Season: Siwema amjibu Ney wa Mitego

New Season: Siwema amjibu Ney wa Mitego

Kwanza hy Ney kwa vyvyt tu atajuta mn kwa maisha ya sasa hv kupata mwanamke wa kulea watoto wacyo wake ni kushukuru Mungu,na cdhani km atampata labda watalelewa na mama yake

Na hapo ndo kwny utofauti kati ya she na he,kwavyovyote vile ubaya wa Ney hautaonekana Cwema ndo ataitwa Malaya ila wanaume mmnapasw kujua kitendo cha kumzalisha mtu pacpokumuonyesha upendo inauma sn na inaweza kuathiriht makuzi ya mtoto nna uhakika ht kusema mtoto c wa Ney ni hacra tu ili na Ney aumie..so wana JF tujifunze

Huyo dada nae machepele 2 sio wife material istoshe macho juu hakua tayari kua mke zaidi ya matanuzi n showoff.unaweza kuta yeye ndio aliforce kukaa kwa ney hpo lazma mtu akuchoke 2 mana hukua anakupenda kwa dhati
 
Huyo dada nae machepele 2 sio wife material istoshe macho juu hakua tayari kua mke zaidi ya matanuzi n showoff.unaweza kuta yeye ndio aliforce kukaa kwa ney hpo lazma mtu akuchoke 2 mana hukua anakupenda kwa dhati
Siwema ana bahati,angekuwa kule kwa Islamic State,IS,wale wangehukumu kukata kichwa yake kwa jambia
 
Duh! sisi wanaume nadhani kila mtu ana wife material wa aina yake! maana ukiangalia kila mtu anaenda ajuavyo.
Kuna jamaa yetu alimchumbia demu siku ya kujitambulisha baba wa yule bint alipigwa na butwaa akamuuliza bint yake nawe umepata mchumba? but now kama miaka 10wapo vizuri wana watoto watatu maisha mazuri hakuna mgogoro wala ngendembwe.
 
Ukishaona Mwanaume kazaa wa Mwanamke wa kwanza , Pili , Tatu , tofauti tofauti unatakiwa uwe na sababu ya Msingi kumkubali kuwa naye wewe kama wa 4 , Hiyo ni dalili kubwa ya Mwanaume Gumegume

Wakati unaonyeshwa Nyumba ya Ney , mwenyewe unalia nilisema Nyasamaki mie hapo si kwako , ukajifanya na kulea mtoto wa mwenzio yako wapi ? ,,

hakunaga Mapenzi ya kwenye Mitandao Mitandao , kushikana shikana kupigana picha makalio kutwa , hakuna jamani huo ni Umalaya tu ,

Jipange Upya Bado Mdogo wewe , Na Unamvuto wa kike , Kila la Kheri

thread closed
i like it!!!
 
Airtel kwan hawajaona hyo scandal ya ney? Wasitishe mkataba bwana then wamtoe kabisa kwenye mabango ya airtel, kwanza roho ilikuwa inaniuma kila sehemu ukienda unakutana na picha ya ney nfyuuu

Kwan we pia alikuzalisha ukanyang'anya mtoto?
 
Ukishaona Mwanaume kazaa wa Mwanamke wa kwanza , Pili , Tatu , tofauti tofauti unatakiwa uwe na sababu ya Msingi kumkubali kuwa naye wewe kama wa 4 , Hiyo ni dalili kubwa ya Mwanaume Gumegume

Wakati unaonyeshwa Nyumba ya Ney , mwenyewe unalia nilisema Nyasamaki mie hapo si kwako , ukajifanya na kulea mtoto wa mwenzio yako wapi ? ,,

hakunaga Mapenzi ya kwenye Mitandao Mitandao , kushikana shikana kupigana picha makalio kutwa , hakuna jamani huo ni Umalaya tu ,

Jipange Upya Bado Mdogo wewe , Na Unamvuto wa kike , Kila la Kheri

Sio kweli bana.
 
Kwanza hy Ney kwa vyvyt tu atajuta mn kwa maisha ya sasa hv kupata mwanamke wa kulea watoto wacyo wake ni kushukuru Mungu,na cdhani km atampata labda watalelewa na mama yake

Na hapo ndo kwny utofauti kati ya she na he,kwavyovyote vile ubaya wa Ney hautaonekana Cwema ndo ataitwa Malaya ila wanaume mmnapasw kujua kitendo cha kumzalisha mtu pacpokumuonyesha upendo inauma sn na inaweza kuathiriht makuzi ya mtoto nna uhakika ht kusema mtoto c wa Ney ni hacra tu ili na Ney aumie..so wana JF tujifunze

Hakuna kitu kama hiko dada.
 
Siwema Kila muosha.....huoshwaa ukumbuke pia kumuomba msamaha yule mdogo wake LA KAIRO....maana hakusahau pia kwa uliyomfanyia pole kwa yaliyokukuta! kama mwanamke mwenzangu
 
Ulimi siku zote ukiutumia vibaya unaweza kuleta madhara makubwa mno... angevuta subira hasira ziishe.
 
Siwema Kila muosha.....huoshwaa ukumbuke pia kumuomba msamaha yule mdogo wake LA KAIRO....maana hakusahau pia kwa uliyomfanyia pole kwa yaliyokukuta! kama mwanamke mwenzangu

Mkuu yupi huyo otieno au
 
Hahahahaaha....ney wa mitego nafikiri siwema alinasa kwenye mtego wa ney
 
Back
Top Bottom