New York, Marekani: Rais Samia ashiriki Mkutano kuhusu athari za Mabadiliko ya TabiaNchi

New York, Marekani: Rais Samia ashiriki Mkutano kuhusu athari za Mabadiliko ya TabiaNchi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
‪Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi duniani ambapo amesisitiza juhudi za kupambana na janga hilo kutopuuzwa‬

‪Amesema, "Bado tunataabika na changamoto kubwa ya UVIKO19 ambayo imeangusha hali ya Uchumi na kufuta mafanikio yaliyofikiwa katika miongo kadhaa"‬

‪Amesema japokuwa wengi wengi huchukja kirahisi kupanda kwa joto kama moja ya athari za mabadiliko ya TabiaNchi, bado hali ni mbaya kwa Nchi kama Tanzania kwani husababisha athari mbaya kwa sekta zinazotegea maliasili kama Kilimo‬

B1D0E23F-AB9D-4019-8ED5-003EA8907C11.jpeg


046C4292-9C25-4BC7-BDFE-C7BB3DB2E5BA.jpeg
894CE60B-B490-47F2-86F7-3F66E36331B7.jpeg
 
Tumuachebmama achape kazi, hata angekwenda New York kwa holiday tu ni haki yake.

Tupunguze chuki kwa afya zetu.
Aisee inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiria umefika mwisho
 
Tumuachebmama achape kazi, hata angekwenda New York kwa holiday tu ni haki yake.

Tupunguze chuki kwa afya zetu.
Unaongea kishabiki badala ya kujenga hoja itakayoleta Tz endelevu
 
Mama anazidi kukubalika duniani yupo tayari kuwa Rais wa ile United States of Africa
 
Mbona wale bakabaka siwaoni huko amereka amewaacha wapi?..au ndio kutishana tanzania kweli madaraka matamu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wekeni picha basi zinazoendana na habari......hayo mangazi ya umeme ndio nini sasa?
 
Huyu wa mbele kushoto siyo Gwajiboy kweli? au macho yangu ya uzee.
 
Tumuachebmama achape kazi, hata angekwenda New York kwa holiday tu ni haki yake.

Tupunguze chuki kwa afya zetu.
Kushiriki huo mkutano ni kuchapa kazi? Hata asingeshiriki kungekuwa hakuna impact yoyote
 
Mbona wale bakabaka siwaoni huko amereka amewaacha wapi?..au ndio kutishana tanzania kweli madaraka matamu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hao wachache aliosafiri nao bado kuna watu wameandika uzi humu kuwa raisi amesafiri na watu wengi. Na kwamba ni uharibifu wa kodi zetu. Pinga pinga haijawahi kuwa na tija au faida yoyote kwa wapingaji, maana kila uchaguzi ukifika ni mwendo wa kuangukia pua tu.
 
Kushiriki huo mkutano ni kuchapa kazi? Hata asingeshiriki kungekuwa hakuna impact yoyote
Ni mwaka wa tatu sasa Lisu amekuwa akiwahadaa mazombi wake kuwa atahutubia baraza la usalama na vikao vikubwa kama hivi. Cha kushangaza raisi Samia amefanikiwa kwa muda mchache tu alioingia.
 
Back
Top Bottom