We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 815
- 381
Ni vipi unawalinganisha Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa? Hivi umejitafakari kweli?Ni mwaka wa tatu sasa Lisu amekuwa akiwahadaa mazombi wake kuwa atahutubia baraza la usalama na vikao vikubwa kama hivi. Cha kushangaza raisi Samia amefanikiwa kwa muda mchache tu alioingia.
Kwa haya aliyofanya?Huyu mama anaakili sana,namuona akiinyatia tuzo ya mo ibrahim
Uharibifu mkubwa wa mazingira unafanywa kwa kiasi kikubwa na nchi zilizoendelea, nchi za viwanda. Nchi hizo hasa America zimegoma kabisa kupunguza uzalishaji wa hewa ya ukaa na kukataa hata kusaini mkataba wa kimataifa kuhusu mazingira.Unafaida kubwa sn agenda yamsingi inayo enda kuzungumziwa pia ni uharibifu wa hali ya hewa Duniani hilo tu linagusa kila mtu katika huu ulimwengu wa fuju jua hilo kwanza. Ukame wewe huoni, joto ulioni na nk.
Huyu ni mmoja wa wale waliogoma kumkabizi mwenyekiti akili zao. Ndo maana amefanikiwa kuona nje ya box.[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni bavicha uliejikomboa kifikra
Kila wanapotengeneza propaganda na kufeli ndo wanavyozidi kupoteza wapiga kura ambao wanagundua uongo wao.Kuna uzi humu unasema Lisu atagombea ukatibu mkuu UN
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui iliishia wapi hii ndoto
Kama walijua makamu mwenyekiti wa chama hawezi kuwa na uwezo wa kuhutubia UN na mikutano mikubwa kama hii kulikuwa ni ulazima gani wa kuwadanganya watu kuwa atahutubia leo, kesho mara keshokutwa na kuendelea? Siasa za uongo uongo hivi zikiwachosha wananchi na kuwanyima kura utailaumu tume ya uchaguzi au viongozi wa chama kwa kuendesha mambo kwa njia za kilaghai? Kila mwanasiasa muongo, lkn kama mpinzani unaetafuta kushika madaraka kwa njia ya kura unatakiwa uongo wako ujifiche usionekane. Yani wanachama na wapiga kura wako wasigundue kuwa unafanya siasa zako kwa njia ya kudanganya danganya. Matokeo yake watashindwa kukuamini na kukunyima kura. Kwani wataona ni bora zimwi likujualo ambalo ni chama kilichopo madarakani kwa vile wanakifahamu miaka na miaka.Ni vipi unawalinganisha Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa? Hivi umejitafakari kweli?
Naonekana kama msomi?!Mbona unaongea kama sio msomi
Kwanini hicho kimini huwa havai hapa nyumbani?Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi duniani ambapo amesisitiza juhudi za kupambana na janga hilo kutopuuzwa
Amesema, "Bado tunataabika na changamoto kubwa ya UVIKO19 ambayo imeangusha hali ya Uchumi na kufuta mafanikio yaliyofikiwa katika miongo kadhaa"
Amesema japokuwa wengi wengi huchukja kirahisi kupanda kwa joto kama moja ya athari za mabadiliko ya TabiaNchi, bado hali ni mbaya kwa Nchi kama Tanzania kwani husababisha athari mbaya kwa sekta zinazotegea maliasili kama Kilimo
View attachment 1946692
View attachment 1946691View attachment 1946697
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi duniani ambapo amesisitiza juhudi za kupambana na janga hilo kutopuuzwa
Amesema, "Bado tunataabika na changamoto kubwa ya UVIKO19 ambayo imeangusha hali ya Uchumi na kufuta mafanikio yaliyofikiwa katika miongo kadhaa"
Amesema japokuwa wengi wengi huchukja kirahisi kupanda kwa joto kama moja ya athari za mabadiliko ya TabiaNchi, bado hali ni mbaya kwa Nchi kama Tanzania kwani husababisha athari mbaya kwa sekta zinazotegea maliasili kama Kilimo
View attachment 1946692
View attachment 1946691View attachment 1946697