New York: Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres

New York: Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres

Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P

Wapiga dhumali wa lumumba mnasifia kila kitu
 
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
Safari ya waisraeli jangwani.miaka inaenda bado wanazunguka humo humo.
 
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
ARE WEeee!! : Sirro.
 
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P

Mkuu kwa lipi?

Kila mjumbe rasmi kwenye mkutano huo wakiwamo watwaliban wameonana, kusalimiana na kusaini kitabu cha bwana Gutereshi (kama kiswahili anavyotamkwa).

Bila kutoa dira ya demokrasia atabakia kuwa mtalii wa ajabu mwenye kutumia dreamliner kwa gharama za nduguzo hawa hapa:

IMG_20210923_152851_094.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres‬

Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ikiwemo athari za kiuchumi na kijamii za COVID-19, utekelezaji ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) pamoja na Ulinzi na Usalama Barani Afrika

View attachment 1950287
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres katika Ofisi za Umoja wa Mataifa Jijini New York Nchini Marekani Septemba 23, 2021.

View attachment 1950288
Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu katika Ofisi za Umoja wa Mataifa Jijini New York Marekani, mara baada ya kuhutubia mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Septemba 23,2021. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres.
Misukule ya magufuli itapinga!!
 
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
Magufuli aliivuruga Nchi yetu kimataifa, acha Samia aturudishe kwenye mstari,

Nchi ilishakuwa na sifa mbaya kimataifa chini ya Ngosha, na mikutano Kama hiyo yeye asingeenda angemtuma Livingston Lusinde amuwakilishe
 
Magufuli aliivuruga Nchi yetu kimataifa, acha Samia aturudishe kwenye mstari,

Nchi ilishakuwa na sifa mbaya kimataifa chini ya Ngosha, na mikutano Kama hiyo yeye asingeenda angemtuma Livingston Lusinde amuwakilishe
Unaweza kuchangia, bila kusema mabaya ya marehemu, he is dead, mwacheni apumzike kwa amani.
P
 
Safari ya waisraeli jangwani.miaka inaenda bado wanazunguka humo humo.
Usiwe na shaka, hata Musa, hakuingia Caanan, na Musa wetu pia hakutufikisha nchi ya ahadi, ila huyu aliyepo sasa ndio anatuingiza.
Keep on watching, soon utashuhudia mabomba nchi nzima, yakitirisha maziwa na asali.
P
 
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P

Kilaza wetu Paschal
 
P. Mayalla, nini hoja ya Post hii, Samia kaenda UN (sekondari) Samia amekutana na hedimasta wake, ni nini cha ajabu mpaka mada iwepo!
Mwanasheria P. Mayalla nifafanulie.
Mimi ni mwandishi tuu wa habari na sio mwanasheria, japo nimesoma sheria, kusoma sheria sio kuwa mwanasheria.
Pili ile "Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres" ni news enough.
P
 
Kwahiyo anaonekana hajui kuongoza sababu Mbowe yuko gerezani?Nyuzi nyingi nikisoma hata kama mama kafanya jema watu wanambeza eti kisa Mbowe yuko gerezani.Sikieni nyie matomaso kama Mbowe hana kosa mtoeni gerezani kwa sheria na kama ana kosa afungwe tu kwani yeye nani akifanya kosa asiwajibishwe
Kosa lipi alilofanya mbowe Mkuu?? Hebu imagine umezeeka una miaka80 hko then mjukuu wako anasoma Sheria Chuoni anakutana na kesi ya Mbowe anaisoma kama Reference case then anakuuliza eti Babu natumai kipind hicho ulikuepo Mbowe aliua sana watu kwa Ugaidi wake??? utamjibu vipi????
 
Back
Top Bottom