New York: Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres

P. MAYALA sina cha kuongeza ila na unga mkonohoja kwa kweli wakupinga hebuwatulie tumpe mama muda anaenda vizuri
 
Mimi ni mwandishi tuu wa habari na sio mwanasheria, japo nimesoma sheria, kusoma sheria sio kuwa mwanasheria.
Pili ile "Rais Samia akutana na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres" ni news enough.
P
Nifafanulie mwanafunzi kukutana na hedimasta wake ni news kwa vipi.
Ukisomea jambo nilidhani nawe unakuwa sehemu ya ulichosomea, hili tuliache turudi kwenye hoja ya mwanafunzi kikutana na hedimasta wake.
This is a GT's platform and should be so.
 
Nifafanulie mwanafunzi kukutana na hedimasta wake ni news kwa vipi.
Ukisomea jambo nilidhani nawe unakuwa sehemu ya ulichosomea, hili tuliache turudi kwenye hoja ya mwanafunzi kikutana na hedimasta wake.
This is a GT's platform and should be so.
Kukutana ni jambo jema, mwanafunzi kukutana na mwalimu wake ni jambo jema.
P
 
Ngoja nisubiri comments za Pinga pinga FC.
Chadema inajitanabahisha kuwa chama cha kutenda haki wakati wakidai rais atende ndivyo sivyo! Polisi wamemkamata mtu (hii ni haki ya polisi) wao wanataka rais awaambie mwachie. Kazi ya polisi ni kupeleka mahakamani- wao wanasema rais aingilie mahakama na kumwachia. Kama ni haki bin haki lazima wasubiri hadi hukumu ndipo Rais amtoe. Kabla ya hapo ni uvunjifu wa haki
 

Tanzania ile uliyoisifia kiasi cha kuchagiza bwana yule atawale milele? Nimecheka sana hii comment hahahahahaha
 

Hapo mheshimiwa rais inawezekana kapewa habari hii (chini ktk kisanduku 👇👇), maana habari - picha huwa inatubakisha na maswali tele, ilitakiwa isiwe habari-picha tu bali na maelezo marefu wakubwa hawa wawili waliongea nini n.k n.k

Kutuacha kukisia basi inawezekana jambo linalimkabili mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani liliongelewa baada ya Katibu Mkuu UN kuona mabango ya waandamanaji ya FREE FREEMAN MBOWE katika viunga vya Ofisi ya Makao Makuu ya UN na pia barua ya Mwanasheria watetezi wa haki n.k
👇👇
 
10 September 2021

US FOREIGN AFFAIRS

Tanzanian Judiciary and President: Unacceptable Intermingled Institutions​


Samia Suluhu’s rise as the President of Tanzania has intensified the violent policies of her predecessor John Magufuli, who was regarded as one of the worst dictators of modern times...

September 16, 2021​

Tanzania: UN Working Group on Arbitrary Detention Petition in the Case of Freeman Mbowe​

BACKGROUND​

On September 15, 2021, Mr. Oliver Windridge, an international lawyer recruited by the American Bar Association, Center for Human Rights, under its Justice Defenders Program, filed a communication to the United Nations Working Group on Arbitrary Detention on behalf of imprisoned Tanzanian opposition leader Freeman Mbowe.

Mr. Mbowe is the leader of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Party of Democracy and Progress), also known as Chadema. He was arrested in the early morning hours of July 21, 2021, ahead of a planned party meeting on constitutional reform in Tanzania.

As detailed in the petition, Mr. Mbowe was arrested without a warrant, driven for 18 hours, over 1000 kilometers, from Mwanza to Dar es Salaam, and held in incommunicado detention for five (5) days. During this time, he was denied access to a lawyer and to his family and not informed of the charges he was facing.

On July 26, he appeared before the Kisutu Magistrate Court where he was charged with conspiracy and the provision of funds to commit terrorist acts under Tanzania’s Economic and Organized Crime Control Act and its Prevention of Terrorism Act, respectively. Because he is facing terrorism-related charges, Mr. Mbowe was automatically denied the right to apply for bail pending trial under Section 148(5) of Tanzania’s Criminal Procedure Act. He remains detained as he awaits his trial.

Following Mr. Mbowe’s arrest, several human rights organizations and governments expressed concern that his arrest was a continuation of an ongoing crackdown on opposing voices in Tanzania. Mr. Mbowe’s recent arrest is not the first time that the authorities have detained and prosecuted him in relation to his activities as an opposition leader and vocal critic of the government.

Mr. Mbowe has in the past also been the victim of physical attacks, which his party alleges were politically motivated.
The communication argues that Mr. Mbowe’s pre-trial detention is arbitrary under international human rights law for the following reasons: (i) the manner of his arrest and incommunicado detention for five days was a violation of recognized due process rights; (ii) the automatic denial of bail without due regard for the individual circumstances of Mr. Mbowe’s case under Section 148(5), is a violation of the presumption of innocence; and (iii) the timing of the arrest of Mr. Mbowe, the manner of his arrest and Tanzania’s record of repression, strongly points to Mr. Mbowe’s case being politically motivated in violation of Tanzania’s regional and international human rights obligations.

READ THE FULL UNWGAD PETITION


Source: Tanzania: UN Working Group on Arbitrary Detention Petition in the Case of Freeman Mbowe
 
Kaaaz kwel kwel 😂😂😂😂💸💸💸💸 ndo cha msingi!!!
 
KESI ILIYOKUWA INA MUANDAMA MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA NI MFANO HAI WA UKIUKWAJI HAKI ZA BINADAMU

Tundu Lissu - Hakuna kushangilia kufutiwa kesi za kusingiziwa na dola (Tawala Dhalimu), yatupasa kuwauuliza ofisi za DPP, IGP na Serikali juu ya kesi hizi za kutunga

TUNDU LISSU ATEMA CHECHE JUU YA KESI YAKE YA UCHOCHEZI KUFUTWA, NILIWAKAANGA KWELI, WALIJIKANYAGA KWELI KWELI


Source : Mubashara Studio
 
MAYALA NI NJAA.

ENDELEA KUTAFUTA UTEUZI.

KWA MAGUFULI ULISIFIA, LEO UNAS8FIA NA KUKASHIFU KWA MAGUFULI
 
Wadau wa Kimataifa, Wapoteza Matumaini

Ni baada ya kusikia hotuba ya Rais mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA namba 76. Wadau wajadili kinachoweza kutokea siku zijazo juu ya mahusiano kati ya serikali ya CCM na waday wa maendeleo

Tukumbuke mh. Rais ameweza kukutana na Rais wa Benki ya Dunia, Katibu Mkuu wa UN na viongozi wengine kibao kwenye viambaza / mabaraza ya Ofisi za UN.
Source : Mubashara Studio
 
Hii kesi ya kijinga ya kusingiziwa Mbowe inamfanya mama asionekane anaweza kuaminika kwa tulio wengi tunaopenda haki. Inampunguzia nuru yake mno. Nasema kwa wanaomcha Mungu na wapenda haki na maendeleo. It wasn't necessary in the first place. DPP fikiri mara mbili kama unajali haki amani na utengemano wa Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…