New York: Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Tanzania - Starring Samia Suluhu Hassan, President of The United Republic of Tanzania

New York: Uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour Tanzania - Starring Samia Suluhu Hassan, President of The United Republic of Tanzania

Walengwa wa hiyo filamu ni wazungu, sio sisi members wa jf ambao wengi ni watanzania. Labda kama lengo ni kuturungishia. Hivyo sitegemei sisi watanzania wengi kuvutika na hiyo filamu maana sio walengwa wa filamu hiyo. Naona umehamasika na hilo tukio mpaka unadhani na wengi wetu tumehamasika hivyo hivyo. Ila si vibaya maana ww umehamasika utuletee hizo clips kadhaa tuone huo uhondo unaokupagawisha.
Ni kweli nimehamasika lakini sio live yoyote ya tukio hili kwenye mainstream TV za hapa Marekani hivyo na mimi naitegemea TBC maana hapa wapo na live gear zao, hili ni tukio muhimu sana kwa taifa Letu. Kama huwa tunaletewa live za matukio less important, why not this very important?.
P
 
Mbona pambano la Tyson na Ivanda enzi hizo ni mida hii na Wabongo kibao tulisubiri , Leo tukio la Rais and there is no one!
P

Tyson na Evender ni tukio linalovutia automatic na halionyeshwi na TBC. Kuona pambano la Tyson haizidi 1,000. Je ni watanzania wangapi wanaenda kutalii, na kwa hela gani waliyo nayo?
 
No sio kuhamasika bali hili ni tukio muhimu sana kwa taifa Letu. Kama huwa tunaletewa live za matukio less important, why not this very important?.
P

Muda wa hayo matukio huwa ni rahisi kuwa live, muda huu sio rafiki, na watanzania wengi hawana uwezo wa kumudu utalii. Huu ugumu wa maisha ulioko kila kitu kimepanda bei, unategemea mtu aamke usiku kuangalia sinema ya utalii iliyotengenezwa na walamba asali?
 
Tyson na Evender ni tukio linalovutia automatic na halionyeshwi na TBC. Kuona pambano la Tyson haizidi 1,000. Je ni watanzania wangapi wanaenda kutalii, na kwa hela gani waliyo nayo?
Hapa ndio hoja ya uzalendo inapoibuka,
yaani mtu uko tayari kukesha kumuangalia Tyson lakini Rais wako...!
P
 
Tupo tunasikilizia maumivu,jinsi pesa zetu zilivyoliwa na maza yupo kimya.
So tunaona hata wakiongezeka watalii zitaishia mifukoni mwao na hakuna hatua zinazochukuliwa zaidi ya CAG kuja kutusomea tena ngonjera
Watu wenye "kamba ndefu" mkuu, ndio wenye sauti katika serikali ya leo

Tunauzwa 'right, left and center' tukiona wenyewe, na hatuna la kusema.
 
..Balozi Mama Mulamula amekuwaje?

..Ni waziri gani mwingine wa mambo ya nje anavaa nguo zina picha ya Raisi wake?

cc Kilatha
EeeenHeee Heee!

Jiwe angependa sana hiyo.

Namwona Prof. wa Jalalani, angekumbuka mtindo huu mapema asingesita kuutumia.

Hawa watu maisha yao ni ya kumtegemea huyo mteuzi, kwa hiyo kila wanachoweza kufanya kumfurahisha watakifanya.
 
EeeenHeee Heee!

Jiwe angependa sana hiyo.

Namwona Prof. wa Jalalani, angekumbuka mtindo huu mapema asingesita kuutumia.

Hawa watu maisha yao ni ya kumtegemea huyo mteuzi, kwa hiyo kila wanachoweza kufanya kumfurahisha watakifanya.

..angempotezea tu.

..Jiwe ange-mind kama angekuwa MWEUPE. 🤣 🤣
 
Tupo tunasikilizia maumivu,jinsi pesa zetu zilivyoliwa na maza yupo kimya.
So tunaona hata wakiongezeka watalii zitaishia mifukoni mwao na hakuna hatua zinazochukuliwa zaidi ya CAG kuja kutusomea tena ngonjera
KATIBA! KATIBA bomu iliyopo ndiyo inawapa nyodo, kiburi na dharau! Wao ni wao na wewe ni mnyonge tu!
Mbona pambano la Tyson na Ivanda enzi hizo ni mida hii na Wabongo kibao tulisubiri , Leo tukio la Rais and there is no one!
P
Watu tumeamka kufuatilia lakini hakuna kinachoonekana. Kuna ujumbe mkubwa sana kwenye usiri mkubwa uliofanyika!

Anyway... ni shughuli ya kitalii kwa ajili ya watalii!
 
Back
Top Bottom