Net Vision
New Member
- Dec 15, 2017
- 3
- 7
Pep kaleta copy tu ya mpira wa Barcelona EPL wote wamekuwa vibonde,je Catalunya wakijitenga na Barcelona wakaja EPL itakuwaje...,EPL timu zake zinauwezo sawa(yaani uwezo mdogo) ndio maana mnaona kunaushindani tofauti na ligi zingine ambazo zinatimu zenye uwezo mkubwa na mdogo.