Newcastle United Football Club special thread

Newcastle United Football Club special thread

IMG_1679.jpg

Disappointed result , Eddie howe ametuchomesha na subs zake za kindezi sana. Madogo nae chance wamechezea sana #### WE MOVE FORWARD
 
yaani wamekosa magoli kibao......next ni brighton

Wameleta ubishoo wa ajabu eddie howe naye ajitafakari kocha unatakiwa uwe ruthless halafu sub za kukariri ni ujinga, kulikua hamna ulazima wakufanya sub ya tonali na gordon.

Hope tutawapiga ila players wamechoma sana hii game ilikuwa yetu kabisa.
 
De zerby na Brighton yake wametoka kuchezea kichapo kwa westham,hivyo next week game dhidi yenu itakuwa ngumu sana.

Wote mnataka matokeo ila mwenye mbinu bora ataibuka mshindi.
 
Wameleta ubishoo wa ajabu eddie howe naye ajitafakari kocha unatakiwa uwe ruthless halafu sub za kukariri ni ujinga, kulikua hamna ulazima wakufanya sub ya tonali na gordon.

Hope tutawapiga ila players wamechoma sana hii game ilikuwa yetu kabisa.
ni kweli mkuu tena walikuwa man down!
 
De zerby na Brighton yake wametoka kuchezea kichapo kwa westham,hivyo next week game dhidi yenu itakuwa ngumu sana.

Wote mnataka matokeo ila mwenye mbinu bora ataibuka mshindi.

Daah game itakuwa ya moto sana hii howe akipigwa na sidhani kama atabaki newcastle muda mrefu kwa mentality hii ya kibwege yani liver wapo pungufu lakini anafanya ufwala hii imeniuma sana
 
IMG_1703.jpg

Hakuna cha kujitetea hapa madogo wametunyanyasa kweli.
Eddie howe hana mbinu mbadala na mwanae mpenda camera Tindall tukiendelea ivi siku si nyingi anasepa.
 
Tumekutana na better teams kuliko nyingine zozote zile , still tuna nafasi ya kutoboa after inter break .

Eddie howe tuna imani naye , he is a good coach tusikate tamaa for only 3 games against tough opponents.
 
Yule Ferguson, ule muwa aliopiga daaah...miaka 18 anapiga miwa kama ile!
 
Tumekutana na better teams kuliko nyingine zozote zile , still tuna nafasi ya kutoboa after inter break .

Eddie howe tuna imani naye , he is a good coach tusikate tamaa for only 3 games against tough opponents.
Mzee hukua Man U kweli?
 
Shorwe leo wamewadonoa nyuki

Newcastle 1-0 Brentford
 
IMG_1759.jpg

Back to win vibes!!!! Tukutane j4 ndani ya champions league.
Madogo watakuwa na vibes la kutosha la UEFA i believe tutashinda
 
IMG_1773.jpg

HERE WE GO !!!!!! UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Tunaanza kuokota points leo ndani ya Death group .
Tukutane kwenye picha ya pamoja after 3 points mdani ya SAN SIRO.
 
Back
Top Bottom