Newcastle United Football Club special thread

Newcastle United Football Club special thread

IMG_1775.jpg

Point 1 ndani ya san siro , tusubiri waje st james wachezee kwa kelele za pale lazima watakaa .
 
Kuna mtu anasema Ac milan wachovu, Ac milan last season walikuwa semi finalist , wakati timu yake ina miaka zaidi 16 haijawahi kufika semi final.
 
Kuna mtu anasema Ac milan wachovu, Ac milan last season walikuwa semi finalist , wakati timu yake ina miaka zaidi 16 haijawahi kufika semi final.
Ilo unazungumzia msimu uliopita, tupo katika msimu huu ambaoo Ac Milan katoka kupigwa magoli matano juzi kwenye ligi kuu. Msimu huu hawana timu
 
Hakuna Timu hapa

Mmekimbizwa na wachovu Milan ,hili grupu mtashika mkia
Kuna mtu anasema Ac milan wachovu, Ac milan last season walikuwa semi finalist , wakati timu yake ina miaka zaidi 16 haijawahi kufika semi final.
Cheki hizi pimbi zinapigana vijembe kama wanawake 🙄

Wewe chambuzi la mchongo hamis77 masingeli na wewe Labyrinth 84 shabiki kigeugeu la Arse8 acheni pigo za kike za kununiana hebu anzeni ku-quote each other acheni vijembe watoto wa kiume nyie

Cc Flano
 
Arturo Vidal: "I saw the worst match in the history of the Champions League, Milan vs Newcastle."

"Those idiots from Milan against Newcastle left me disappointed. They are lucky because they only know how to run, otherwise they wouldn't be there.

"I don't understand Newcastle, they finish 4th in the league, but it doesn't matter... it's just disgusting."
 
Arturo Vidal: "I saw the worst match in the history of the Champions League, Milan vs Newcastle."

"Those idiots from Milan against Newcastle left me disappointed. They are lucky because they only know how to run, otherwise they wouldn't be there.

"I don't understand Newcastle, they finish 4th in the league, but it doesn't matter... it's just disgusting."
Ni maoni yake
 
Hadi muda huu Sheffield wanatamani zitokee vurugu Kama za kwenye mechi ya Ajax na feyernood
😁😁😁

Sven botman kaweka kamba ya kwanza tangu aichezee NUFC
 
Sheffield ndo timu ya kwanza kushuka daraja msimu huu
 
Leo wanakiwasha sana naona Mashabiki wa Shu wanaondoka uwanjani dakika ya 70
 
Nyieeeeeeeeee nane huko..

Yaani 8
 
Back
Top Bottom