Unajua the boss alivyo present hoja yake kwa mara ya kwanza na hapa nanukuu.."Exactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape"
Unaweza kusema ni sawa na huku kwetu ambako tunaishi chini ya dola moja. Ikanibidi fasta nikapekue per capital income ya huko inasomekaje nikakuta
Mahesabu yalivyo fanyika raia wake kipato cha siku kinakadiriwa kufikia elfu themanini kwa siku (pesa ya kitanzania) wakati sisi huku ni chini ya elfu tatu🤔🤔
Sasa nchi kama hiyo huwezi kusema eti wananvhi wake wanalia njaa nadhani anajaribu ku justfy hoja zake tu bila kuangalia uhalisia. Wanasaudia siwezi kusema eti wanalia njaa hapana nakataa. Na ikitokea watu laki tano au milioni nchi nzima ndio wanaoishi ktk umasikini huwezi kuhitimisha eti wananchi wa saud wanalia njaa
Unajua the boss alivyo present hoja yake kwa mara ya kwanza na hapa nanukuu.."Exactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape"
Unaweza kusema ni sawa na huku kwetu ambako tunaishi chini ya dola moja. Ikanibidi fasta nikapekue per capital income ya huko inasomekaje nikakuta
Mahesabu yalivyo fanyika raia wake kipato cha siku kinakadiriwa kufikia elfu themanini kwa siku (pesa ya kitanzania) wakati sisi huku ni chini ya elfu tatu🤔🤔
Sasa nchi kama hiyo huwezi kusema eti wananvhi wake wanalia njaa nadhani anajaribu ku justfy hoja zake tu bila kuangalia uhalisia. Wanasaudia siwezi kusema eti wanalia njaa hapana nakataa. Na ikitokea watu laki tano au milioni nchi nzima ndio wanaoishi ktk umasikini huwezi kuhitimisha eti wananchi wa saud wanalia njaa
Unajua the boss alivyo present hoja yake kwa mara ya kwanza na hapa nanukuu.."Exactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape"
Unaweza kusema ni sawa na huku kwetu ambako tunaishi chini ya dola moja. Ikanibidi fasta nikapekue per capital income ya huko inasomekaje nikakuta
Mahesabu yalivyo fanyika raia wake kipato cha siku kinakadiriwa kufikia elfu themanini kwa siku (pesa ya kitanzania) wakati sisi huku ni chini ya elfu tatu🤔🤔
Sasa nchi kama hiyo huwezi kusema eti wananvhi wake wanalia njaa nadhani anajaribu ku justfy hoja zake tu bila kuangalia uhalisia. Wanasaudia siwezi kusema eti wanalia njaa hapana nakataa. Na ikitokea watu laki tano au milioni nchi nzima ndio wanaoishi ktk umasikini huwezi kuhitimisha eti wananchi wa saud wanalia njaa
Hapa nilicho ona tutabishana Sana simply tuko level tofauti mno za uelewa...
Mtu anaenda Dubai halafu anasema Dubai haina masikini kwa sababu kaona maghorofa na magari..
Wakati juzi juzi Tu Dubai ilipata crisis kubwa mno ya uchumi na ikagundulika madeni Yao ni makubwa mno ya uwekezaji waliofanya...
Mtu mwenye akili ya kawaida anawaona Saudia Arabia matajiri Sana
But watu wanaotazama data wanaona
Saudia Arabia now Wana watu milioni 4 belowa poverty line na wanaongezeka..
Wanategemea mafuta ambayo hawana control Sana na bei ya mafuta..
Miaka 50 ijayo population itaongezeka..
Technology za mbadala wa mafuta zinaongezeka ...
Kuwekeza mabilioni kwa mpira ni upumbavu
Unemployment rate tayari iko juu..
Jitu linakuja kusema Saudia Arabia hakuna masikini sababu alitembelea mjini ..Miji miwili...
Sawa na mtu anaeishi Upanga aseme Tanzania hakuna wamama wanaotembea kilomita 20 kutafuta maji Safi ..
Now that we call ilitirate person..
Huwezi bishana na data za wold bank na IMF..