News Alert: Benjamin Netanyahu awaahidi waIran kuwa nchi yao itakombolewa hivi karibuni!

News Alert: Benjamin Netanyahu awaahidi waIran kuwa nchi yao itakombolewa hivi karibuni!

Tatizo ni ile aya ya bwana Mudy kwamba wayaudi wote wauwawe ndo inawaponza mpaka leo kobaz..

Wamuulize Amani na waraka wake ilikula kwake....
 
20240929_211709.jpg
 
Kwa kauli hiyo, Ayatollah anapelekwa kwenye mabikra 72 na mito ya pombe muda si mrefu
Ungemuona wakati netanyahu anaongea ungeiona hofu ilivyokua imemjaa, itakua Iran anaandaa jambo
 
Huyu jamaa damu za watu zimeanza kumtia wehu.
Mwaka mzima ameshindwa kuiondoa Hamas kwenye mamlaka hapo gaza ndo ataweza kuiondoa serikali ya Iran?
 
Back
Top Bottom