ROOM 47 JF-Expert Member Joined May 23, 2022 Posts 2,301 Reaction score 7,460 Sep 30, 2024 #21 Tatizo ni ile aya ya bwana Mudy kwamba wayaudi wote wauwawe ndo inawaponza mpaka leo kobaz.. Wamuulize Amani na waraka wake ilikula kwake....
Tatizo ni ile aya ya bwana Mudy kwamba wayaudi wote wauwawe ndo inawaponza mpaka leo kobaz.. Wamuulize Amani na waraka wake ilikula kwake....
BABA Dillish JF-Expert Member Joined Jan 20, 2016 Posts 2,362 Reaction score 3,252 Sep 30, 2024 #22 Statement ya kiufundi sana hii toka kwa BIBI
P Paschal qamara JF-Expert Member Joined Aug 17, 2022 Posts 2,218 Reaction score 3,958 Sep 30, 2024 #23 Beira Boy said: Si tuliambiwa kajeruhiwa na kombola huyu mwamba Click to expand... Wewe unaamini stori za kobazi wanajitungia uwongo kujifariji
Beira Boy said: Si tuliambiwa kajeruhiwa na kombola huyu mwamba Click to expand... Wewe unaamini stori za kobazi wanajitungia uwongo kujifariji
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Sep 30, 2024 #24
gallow bird JF-Expert Member Joined Aug 10, 2024 Posts 3,915 Reaction score 6,272 Sep 30, 2024 #25 K11 said: Kwa kauli hiyo, Ayatollah anapelekwa kwenye mabikra 72 na mito ya pombe muda si mrefu Click to expand... Ungemuona wakati netanyahu anaongea ungeiona hofu ilivyokua imemjaa, itakua Iran anaandaa jambo
K11 said: Kwa kauli hiyo, Ayatollah anapelekwa kwenye mabikra 72 na mito ya pombe muda si mrefu Click to expand... Ungemuona wakati netanyahu anaongea ungeiona hofu ilivyokua imemjaa, itakua Iran anaandaa jambo
Waka Waka JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 1,333 Reaction score 2,076 Sep 30, 2024 #26 Credit said: Ayatollah aanze kupaka vumbi la Kongo, bikira zinamsubiri kwa ala. Click to expand... Ndiooooooooooo
Credit said: Ayatollah aanze kupaka vumbi la Kongo, bikira zinamsubiri kwa ala. Click to expand... Ndiooooooooooo
Powder JF-Expert Member Joined Jan 6, 2016 Posts 4,977 Reaction score 6,635 Sep 30, 2024 #27 Duh! Maneno mazito haya...! But how...!?
S sysafiri JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 6,845 Reaction score 10,071 Sep 30, 2024 #28 Kqma hakuna source of Information hizo ni propagandq!
S sanya naibil Senior Member Joined Sep 9, 2024 Posts 122 Reaction score 151 Sep 30, 2024 #29 sysafiri said: Kqma hakuna source of Information hizo ni propagandq! Click to expand... Bbc wameripot hyo habari
sysafiri said: Kqma hakuna source of Information hizo ni propagandq! Click to expand... Bbc wameripot hyo habari
ITR JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 6,096 Reaction score 16,390 Sep 30, 2024 #30 Huyu jamaa damu za watu zimeanza kumtia wehu. Mwaka mzima ameshindwa kuiondoa Hamas kwenye mamlaka hapo gaza ndo ataweza kuiondoa serikali ya Iran?
Huyu jamaa damu za watu zimeanza kumtia wehu. Mwaka mzima ameshindwa kuiondoa Hamas kwenye mamlaka hapo gaza ndo ataweza kuiondoa serikali ya Iran?