News of Rwanda yaandika kuwa Rais Jakaya Kikwete anaweza kuwa na asili ya Gitega Burundi....

Status
Not open for further replies.
DU KWELI NYOKA NI NYOKA
tulishasema EAC kuwaongeza Wanyarwanda hasa Watutsi iko siku tutajuta
Yaani hawatulii kabisa wataanzisha vurugu za kila aina,kwani hawana tofauti na ile hadithi ya Ngamia na Bwana wake wa kiarabu kugombea kihema.
Walihamia Ngara 1950 sasa wameona ardhi nzuri wanataka kupanua kwani DRC wameshaimega na kudai ya hawataki kutoka na wale adui zao wasirudi rwanda vivyo hivyo TZ wamegewe na wao pia.
tuanzisheni Mkakati wa kuwatambua kote na wasipewe Vitambulisho vya URAIA hata waliojificha Serikalini na Vyuoni
 
waandishi wa Rwanda ni makafiri wa akili, nchi hii inawatu waasili, siyo nchi ya kufikirika ! kwahiyo kama historia yao inaonyesha kuwa Tanzania haikuwa na wat waasili zaidi ya hao migrants so leo hawataki kuwe na taratibu za kuishi na kuingia humu ?

hao wanyaruanda wabaguzi sana, na siwashangai kama waliweza kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa miaka mingi watashindwa nini kuichukia Tanzania >?>
 
 
Aisee huyu mwandishi anasema Ukweli. Mimi ni Mhaya lakini ni kweli Wahaya wengi tumetoka Uganda. Huo ni ukweli usiopingika. Wale wa Muleba wametoka Burundi.
Mkuu umenichekesha, wahaya wapi wanatoka Uganda - Waziba? Wahendangabo? Wahyoza? Wabukara? Wahamba? Wanyaiyangiro? Abaganda Kyaka? Je Wanyambo wanatoka wapi - ANKOLE? Kuna ka ukweli ukichukulia ABATORO, ABANYORO, ABAKIGA, ABANYANKOLE lugha zao hazina tofauti yoyote na KIHAYA - Waganda walio chini ya Kabaka tunasikilizana kwa matamshi mengi ila wenyewe kwenye neno la KI wanaweka CHI actually Kihaya siku hizi kuimekuwa diluted na maneno ya kiswahili - lakini ukitaka Kihaya cha ndani basi makabila hayo manne ya Uganda ndio wanazungumza lugha hiyo kiasili kabisa, hata wakati wa kuandika biblia ya Kihaya walipashwa kuazima maneno mengine mengi yaliyo sahulika kutoka makabila hayo ya Uganda.
 
Hawatujui hawa eeh tutavuka boda tukawa ng'oe meno kwa plies..bila kusahau tindikali
 

wewe siyo muelewa so we ni -m.p.u------vu- coz jamaa hajasema Tz haikuwa na watu ispokuwa alisema bagamoyo....
 
Sasa hivi utasikia kikwete ni Hutu toka Burundi kisha watakwambia hata babu yake na babu yake kikwete alishtakiwa kwa mauaji ya Watusi.
 
Wabantu wote, kwa watusi, ni WAHUTU na wala hakuna haja ya kujipendekeza kwa hawa watu! Umefika wakati sasa waelimishwe kwamba wao si bora kuliko binaadamu wengine!

Hakuna watu waliojiona bora duniani kama wajerumani, lakini, baada ya dunia kuwapa elimu ya kutosha kupitia vita ya pili, wamekuwa binadaam! Sasa tunashangazwa na hawa waafrika wenzetu wanaoendeleza ndoto za kiujima dunia ya leo (mara sijui wanajaribu kujihusisha na kizazi cha mfalme Solomon wa Israel ili kupata BASE UYAHUDI!)!

JAMANI, WATUSI WANAHITAJI ELIMU YA UTANDAWAZI!

 
aisee hii inaweza kuwa kweli kabisa. Ukimuangalia kwa makini JK anafanana sana na yule bushman wa kwenye movie za Gods Must be Crazy

Na wachina asili yao ni misitu ya kongo maana wote wafupi! Hivi wewe, na kaubongo kako kadogo kama karanga moja, unamfikia hata 'chimpanzee'?
KIPIMO CHA BINAADAM, DUNIA YA LEO NI UTU NA AKILI YAKE NA WALA HAIWEZI KUWA UKUBWA WA PUA 'AMBAO SI WINGI WA MAKAMASI'!
 
Sasa hivi utasikia kikwete ni Hutu toka Burundi kisha watakwambia hata babu yake na babu yake kikwete alishtakiwa kwa mauaji ya Watusi.
babu mbona hiyo ilishasemwa zamani tuu,tunasubiri wewe ndio uje utueleze ukweli kama zile story zako za hima empire
 

Hakika tanzania km new york watu mate yanawatoka,teh teh teh.
 
 
 
Nimesoma kwenye social media. waandishi wa Rwanda wanampaka matope JK, eti kwasababu ni mzaliwa wa Bagamoyo huenda ni Mrundi, kwasababu watumwa waliletwa na kutupwa Bagamoyo wakitokea Burundi na Congo. Sasa wanamzushia mke wake eti ni Binamu wa Habyarimana, yote ili kumwonyesha kwanini anawachukia watusi. Masikini. Alafu waandishi wa Tanzania wanamchukulia Kagame eti ana mikono iliyojaa damu, kwa mujibu wa katuni ya Mwananchi na Mtanzania inasema yake kuhusu Kagame, na hapa Jamii Forum Kagame anajadiliwa kama shetani labda. Hao ndo waandishi au watoa maoni wa siku hizi, hopeless!
 
wanashika kila tawi linakatika, watakurupuka sana mwaka huu, aibu itabakia kwao kua ni wauaji na mabazazi yanayoishi kwa rasilimali za drc
 
But Kagame is a devil, there is no argument there. Yule mtu is a killer and a terrible one. But his death is near for you'll never kill for the rest of your life before God teaches you a lesson. Like they say...."Karma is a bitch, it bites you when you least expect it."
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…