Hata Zaire ya Mobutu nayo ilikuwa ndio MODEL ya nchi za JIRANI maaana ilikuwa na watu wa Burundi, Rwanda, Uganda na hata Zambia.Lakini siku wanyamulenge walipoamka hakukuwa tena na hiyo model unayoisema.Hakuna vya sifa wala nini kwa sasa mambo yalishabadika abiria chunga mzigo, wacha Wanyarwanda warudi kwao then kama watataka kurudi waje kwa utaratibu unaoeleweka sio wa kuja na kuvamia mapori yetu na kutishia raia wetu.Naunga mkono hoja wacha waende wakalime viazi milimani kama rais wao alivosemaAnavyoliendesha JANGA hili Rais wetu analifanya la kilabila; Kama ni ISSUE ya KAGAME ni ISSUE yake na KAGAME kama ni ISSUE ya WAKIMBIZI basi sio wa Rwanda pekee kuna Waburundi pia; na ni kwanini aambatanishe hizo issue?
Kama yeye ni MPENDA AMANI na MAZUNGUMZO kama alivyomshauri Rais Kagame aongee na wale wasaliti ni kwanini yeye basi asimuite KAGAME Tanzania na kuyaongelea? Sasa tunahatarisha hata Watanzania wenye asili ya kinyarwanda kuikimbia nchi kama wanavyosema huyo Mwanajeshi.
Nchi yetu ilikuwa ndio MODEL ya nchi za JIRANI why now???
Tunampenda Rais wetu lakini pia akubali makosa... Wakimbizi wa Kinyarwanda kweli wametukosesha raha kiasi hicho???
Mkuu umenichekesha, wahaya wapi wanatoka Uganda - Waziba? Wahendangabo? Wahyoza? Wabukara? Wahamba? Wanyaiyangiro? Abaganda Kyaka? Je Wanyambo wanatoka wapi - ANKOLE? Kuna ka ukweli ukichukulia ABATORO, ABANYORO, ABAKIGA, ABANYANKOLE lugha zao hazina tofauti yoyote na KIHAYA - Waganda walio chini ya Kabaka tunasikilizana kwa matamshi mengi ila wenyewe kwenye neno la KI wanaweka CHI actually Kihaya siku hizi kuimekuwa diluted na maneno ya kiswahili - lakini ukitaka Kihaya cha ndani basi makabila hayo manne ya Uganda ndio wanazungumza lugha hiyo kiasili kabisa, hata wakati wa kuandika biblia ya Kihaya walipashwa kuazima maneno mengine mengi yaliyo sahulika kutoka makabila hayo ya Uganda.Aisee huyu mwandishi anasema Ukweli. Mimi ni Mhaya lakini ni kweli Wahaya wengi tumetoka Uganda. Huo ni ukweli usiopingika. Wale wa Muleba wametoka Burundi.
Si kweli raic jk acli yk ni somali
Kwa taarifa yao, Tanzania ilikuwa na watu kabla ya hiyo biashara ya utumwa, watu wa tz ndio waliomigrate kwenda hizo nchi nyingine na sio kinyume, wataalamu wa historia wanakwambia binadamu wa kwanza aliishi tz oldvai gorge.
Hakuna nchi inayokumbatia wahamiaji haramu, wameambiwa wafuate taratibu wahalalishwe au waondoke..rafiki yangu mnyarwanda yupo kule wala hata wasiwasi hana, ana makaratasi take halali kabisa kwa briefcase
wewe siyo muelewa so we ni -m.p.u------vu- coz jamaa hajasema Tz haikuwa na watu ispokuwa alisema bagamoyo....
Wabantu wote, kwa watusi, ni WAHUTU na wala hakuna haja ya kujipendekeza kwa hawa watu! Umefika wakati sasa waelimishwe kwamba wao si bora kuliko binaadamu wengine!mkuu usihofu, wameshanyea kiganja kilichokuwa kinawalisha lazima watarudi tu kwao.
article ya mwandishi huyu ni muendelezo wa matusi ya serikali ya rwanda kwa tanzania, lengo ni kuunganisha lile tusi lao lao kwamba JK ni genocide symphathizer kwa kum-link JK na historical roots za kuchonga kutoka Burundi (yaani Mhutu) na hivyo in one way or the other anawasaidia Wahutu dhidi ya Watutsi. Unaweza kuona ni jinsi gani alivyo-spin historia ya watu wa pwani (makabila ya wazaramo, wakwere, ndengereko, etc) yote including Bagamoyo and the like ili kukamilisha lengo lake (kumu-incriminate JK with Hutu roots)! Kama gazeti la serikali linaweza kutengeneza propaganda mbaya kiasi hiki unadhani ni watu wa kuwachukulia poa hawa?? Hawana huruma na wakaa na roho za kishetani sana! Warudi kwao na mapandikizi yao yote!
cc: Ukwaju, Niwemugizi, rushasha, Bukyanagandi, mokala1989
aisee hii inaweza kuwa kweli kabisa. Ukimuangalia kwa makini JK anafanana sana na yule bushman wa kwenye movie za Gods Must be Crazy
babu mbona hiyo ilishasemwa zamani tuu,tunasubiri wewe ndio uje utueleze ukweli kama zile story zako za hima empireSasa hivi utasikia kikwete ni Hutu toka Burundi kisha watakwambia hata babu yake na babu yake kikwete alishtakiwa kwa mauaji ya Watusi.
Sunday, August 18, 2013 | 7:51 PM
Mtandao wa News of Rwanda juzi umeandika makala yenye kichwa cha habari, If President Kikwete is Tanzanian, then most Rwandans being expelled are Tanzanians too na kuandika kile linachodai kuwa Rais Kikwete anaweza kuwa na asili ya Burundi.
Kwa mujibu wa wazee wa Burundi waliohojiwa na mtandao huo, umedai Rais Kikwete anaweza kuwa na asili ya Giteka, Burundi.
They are of Rwandan origin, but speak Kirundi and solely prefer to be viewed as Burundians. By virtual of that countrys laws, they are indeed Burundians, limeandika.
So where did President Jakaya Mrisho Kikwete come from? There are no original residents of Bagamoyo in Tanzania where Kikwetes parents are traced. Most people from that area are remnants of slaves who were seem as unfit for the market during the slave trade era.
Bagamoyo formally (Bwagamoyo) was one of the biggest slave trade centres in East Africa and people were being traded from various areas of East Africa. For those of Bagamoyo, however, almost all came from Burundi and Zaire.
Historical discourse shows that most Tanzanians are from other neighbouring countries. The Ngoni people came from Zulu land in South Africa; Yao used to belong to Mwanamtapa Kingdom; Arabs of Unguja and Pemba Irelands in Zanzibar came from Oman during the rule of Sultan Sayid Said.
Chaga, Maasai and Meru people of Northern Tanzania are traced in Kenya; Hangaza people from Burundi; Haya people from Uganda; Waha (Ha people) arrived in from Zaire and Burundi; the Makonde people (tribe of former Tanzania President Benjamin William Mkapa) came from Mozambique; Nyasa People relocated from Malawi; almost all Mara region dwellers came from Kenya and the list can cover about 80percent of all Tanzanians.
The Singida and some Arusha people like Warangi, Wasandawe, Wabaebaig, Wairaq and Hadzabe are not Bantus, but Semi Nilotic who found themselves in that country after immigration for survival.
Tanzanias current Constitution states that all people who were present in 1961 from 00.00 mid night during Tanganyika Independence are legally Tanzanians despite their vast origins. It is beyond comprehension therefore why Rwandans who were in Tanganyika from 1959 and before are being evicted as illegal immigrants.
Elderly women are being rounded up at gun point with nothing on them, and forced out to the Rwanda-Tanzania border. The children they had with Tanzania men are remaining, because according to President Kikwete, the children are Tanzanian and not their mother. The same thing is happening to men married to Tanzanian women.
Read more: NEWS OF RWANDA WAANDIKA KUWA RAIS JAKAYA KIKWETE ANAWEZA KUWA NA ASILI YA GITEGA BURUNDI.... - GUMZO LA JIJI
Hata Zaire ya Mobutu nayo ilikuwa ndio MODEL ya nchi za JIRANI maaana ilikuwa na watu wa Burundi, Rwanda, Uganda na hata Zambia.Lakini siku wanyamulenge walipoamka hakukuwa tena na hiyo model unayoisema.Hakuna vya sifa wala nini kwa sasa mambo yalishabadika abiria chunga mzigo, wacha Wanyarwanda warudi kwao then kama watataka kurudi waje kwa utaratibu unaoeleweka sio wa kuja na kuvamia mapori yetu na kutishia raia wetu.Naunga mkono hoja wacha waende wakalime viazi milimani kama rais wao alivosema
Wala haya mambo ya ukatili wa wa TZ na Rais wao kuhusu Rwanda hayatushitushi hata kidogo, tumeajua kwa mda mrefu tu. Soma hapa uone information tulizo nazo tangu miaka mingi tu: Cable: 05DARESSALAAM888_a Kwani wa Tz mnajua kwamba Salma Kikwete ni binaamu wa Rais wa zamani wa Rwanda? Soma sana sana the last part of that US intelligence cable...
Wala haya mambo ya ukatili wa wa TZ na Rais wao kuhusu Rwanda hayatushitushi hata kidogo, tumeajua kwa mda mrefu tu. Soma hapa uone information tulizo nazo tangu miaka mingi tu: Cable: 05DARESSALAAM888_a Kwani wa Tz mnajua kwamba Salma Kikwete ni binaamu wa Rais wa zamani wa Rwanda? Soma sana sana the last part of that US intelligence cable...
UTTER NONSENSE! And if it's an ideological problem we better leave it with those who have it... and, maybe, deal with it later!