Tetesi: News wabunge watimuliwa

Tetesi: News wabunge watimuliwa

lutemi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
1,748
Reaction score
1,388
4add2a09d9502d7c886eba037b78d3bf.jpg

Huu mchezo hautaki hasira
Ukimwaga mboga wengine wanamwaga ugali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinaniumiza kama hiyo moja ya notification hata kama siyo yangu nahangaika kujaribu kuifungua
 
Hapo ndipo tutajua undumilakuwili wa ndugai na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
Yaani huo mtego mbaya Sana kwao kwasababu akikubali maana yake kuna CUF MBILI
akikataa maana yake wanamlinda lipumba kwasababu hayupo kihalali alishavuliwa uanachama na katibu halali wa cuf ni maalimu saif shalif Hamad.
Na wao ndio Wanawajumbe halali.
Yaani hapo wanyakyusa wanasema imbombo nkafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huo mtego mbaya Sana kwao kwasababu akikubali maana yake kuna CUF MBILI
akikataa maana yake wanamlinda lipumba kwasababu hayupo kihalali alishavuliwa uanachama na katibu halali wa cuf ni maalimu saif shalif Hamad.
Na wao ndio Wanawajumbe halali.
Yaani hapo wanyakyusa wanasema imbombo nkafu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachochea vurugu ndani ya nchi
 
Wanajisumbua sakaya walishamfukuza tangiapo na akafungua kesi hilo baraza lao la bavicha sio sawa na la le proffeseri wamefeli tangu yule mzee alete barua ya kujiuzulu 2015 eti wao wanajadiliana 2016 na jamaa akaitengua b4 hawajaijadili huo sio uchawi Bali ni jinsi ya kuhesabu tu na le proffeser kapiga hesabu sawasawa sasa wanalialia so sasa hivi cuf inatolewa taarifa na bavicha hahahaaaa

Matatizo ya CUF waachiwe wanaCUF wenyewe pesa alizokula SEIF kwa mamvi zitatokea popote pale

Pambana na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha... Unatoa hutoi, unatoa utoi...

Siasa za Tanzania bhana unaweza ukajikuta unakuwa chizi....
 
Hamna jipya hapo mkuu! Kesi ya nyani umpelekee ngedere.
Wametegwa na CUF ORIGINAL
nadhani MWENYEKITI WA CCM AWAITE CUF ORIGINAL aongee nao Auamshauri tu lipumba aachie ngazi ampe wizara Fulani awe waziri yaishe.
Kwasababu yanayoendelea yanainajisi Sana nchi yetu na misingi imara iliyowekwa ya demokrasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani hayo majina ymetoka kwa m/kit kama sivyo ni sawa na kujitekenya halaf unacheka
 
Ba Vicha BANA...

JPM tunazidi kukuombea.
 
Back
Top Bottom