Newton's third law: For every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. Kanuni hii ipo pia kwenye Siasa

Newton's third law: For every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. Kanuni hii ipo pia kwenye Siasa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nikiangalia Siasa za awamu hii ni kama zimepoa hivi, hakuna zile mbindembinde, roho mkononi, patashika nguo kuchanana, nikanyage bahati mbaya nikukwarue makusudi.

Magufuli Siasa zake zilikuwa kali, na ndio maana alipata response na reactions kali kutoka pande zote. Mama Samia Siasa zake zimepoa, na ndio maana anapata mashambulizi mepesi, yaliyopoa.

Na hii ndio inanikumbusha Third Law ya mtaalam Isaac Newton isemayo; for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction.
Ukitumia nguvu kubwa tegemea kujibiwa kwa nguvu kubwa, ukitumia nguvu ndogo basi tegemea kujibiwa kwa nguvu ndogo, na hivyo ndivyo Siasa zilivyo.

Kuna kanuni moja ambayo wanaotumia nguvu kubwa hawapaswi kuiacha, iisemayo; Attack is the secret of defense; defense is the planning of an attack.

Niwatakie usiku mwema.
 
Mkuu naona hupendi amani kabisa, ndiyo hivyo tena enzi za siasa za chuki tulizizika na shetani wa Chato.

Nilikuwa najaribu kuweka Mambo Sawa Kwa Watu wenye fikra za namna hiyo kuwa
Maisha na Dunia na asili ni kama Kioo, input is equal to output, ndicho ambacho Isaac Newton amekisema katika Third Law of motion
 
"When two bodies interact, they apply forces to one another that are equal in magnitude and opposite in direction"

Nimeikumbuka Fizikia ya kibongo.
 
"When two bodies interact, they apply forces to one another that are equal in magnitude and opposite in direction"

Nimeikumbuka Fizikia ya kibongo.

Mambo ya fizikia hayo.
Ukishakuwa mwanafizikia Siasa kukushinda utake mwenyewe tuu Kwa sababu Kanuni ni zilezile.
 
Ulichokiongea kwa kuwianisha SAYANSI na UONGO wa Binadamu kupitia mdomo haviwezi kubebwa na kanuni za mwana sayansi nguli za enzi hozo na ambaye nadharia zake ndizo zinazotumika sasa hivi kuvumbua vitu kadhaa katika teknolojia.

Zitazame na urudie tena na tena ili usiendelee kupotosha wanajukwaa

  • Newton's Law of Universal Gravitation states that every particle attracts every other particle in the universe with force directly proportional to the product of the masses and inversely proportional to the square of the distance between them.
  • Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force. This tendency to resist changes in a state of motion is inertia.
  • Newton's second law states that the acceleration of an object is directly related to the net force and inversely related to its mass. The acceleration of an object depends on two things, force, and mass.
  • Newton's third law of motion, forces always act in equal but opposite pairs. Another way of saying this is for every action, there is an equal but opposite reaction. This means that when you push on a wall, the wall pushes back on you with a force equal in strength to the force you exerted.
 
Imepita miaka miwili sasa #za "bring back..."[emoji16]
 
Nchi imepoa kama uji wa mgonjwa.

Hatujui hata tunakoelekea.

Kila mwenye uwezo anajipigia tu.
 
Action ikitoka kwa mwewe kwenda kwa kuku, kuku hataweza ku react zaidi ya kulia

Ndo maana mkali alitufanyia unyambisi lakini tunachoweza kufanya ni kutema nyongo jf
 
Ulichokiongea kwa kuwianisha SAYANSI na UONGO wa Binadamu kupitia mdomo haviwezi kubebwa na kanuni za mwana sayansi nguli za enzi hozo na ambaye nadharia zake ndizo zinazotumika sasa hivi kuvumbua vitu kadhaa katika teknolojia.

Zitazame na urudie tena na tena ili usiendelee kupotosha wanajukwaa

  • Newton's Law of Universal Gravitation states that every particle attracts every other particle in the universe with force directly proportional to the product of the masses and inversely proportional to the square of the distance between them.
  • Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force. This tendency to resist changes in a state of motion is inertia.
  • Newton's second law states that the acceleration of an object is directly related to the net force and inversely related to its mass. The acceleration of an object depends on two things, force, and mass.
  • Newton's third law of motion, forces always act in equal but opposite pairs. Another way of saying this is for every action, there is an equal but opposite reaction. This means that when you push on a wall, the wall pushes back on you with a force equal in strength to the force you exerted.

Hizo Kanuni wenzako tulizielewa hatujakariri.
Embu isome hiyo third Law kisha urejee kilichoandikwa.
 
Nchi imepoa kama uji wa mgonjwa.

Hatujui hata tunakoelekea.

Kila mwenye uwezo anajipigia tu.
Na wewe tafuta upenyo ujipigie mkuu

Nchi hakuna asiyeingia,kuwa kwenye nafasi na kupiga

Ova
 
Ulichokiongea kwa kuwianisha SAYANSI na UONGO wa Binadamu kupitia mdomo haviwezi kubebwa na kanuni za mwana sayansi nguli za enzi hozo na ambaye nadharia zake ndizo zinazotumika sasa hivi kuvumbua vitu kadhaa katika teknolojia.

Zitazame na urudie tena na tena ili usiendelee kupotosha wanajukwaa

  • Newton's Law of Universal Gravitation states that every particle attracts every other particle in the universe with force directly proportional to the product of the masses and inversely proportional to the square of the distance between them.
  • Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force. This tendency to resist changes in a state of motion is inertia.
  • Newton's second law states that the acceleration of an object is directly related to the net force and inversely related to its mass. The acceleration of an object depends on two things, force, and mass.
  • Newton's third law of motion, forces always act in equal but opposite pairs. Another way of saying this is for every action, there is an equal but opposite reaction. This means that when you push on a wall, the wall pushes back on you with a force equal in strength to the force you exerted.
Wewe ulikariri physics, wenzio walielewa physics. That makes different.
 
Nchi imepoa kama uji wa mgonjwa.

Hatujui hata tunakoelekea.

Kila mwenye uwezo anajipigia tu.
Kweli hatuoni vitu kama hivi vilivyozoeleka kwenye utawala wa mzarendo wa Chato
1679652251550.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kweli hatuoni vitu kama hivi vilivyozoeleka kwenye utawala wa mzarendo wa Chato View attachment 2563829

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hizo maiti hujui ni akina nani wala sababu ya kuuliwa kwao ila ajabu et umeridhika kuwa sasa hazipo tena, yani kwenu ni furaha kuhusishwa Magufuli na hizo maiti tu basi. Wala hamtaki kujua nani walikuwa watekelezaji na wakamatwe na hata sasa mkiziona tena hizo maiti mtasema ni sukuma gang wala hamtowaza kwanini hawakamatwi.
 
Kwema Wakuu!

Nikiangalia Siasa za awamu hii ni kama zimepoa hivi, hakuna zile mbindembinde, roho mkononi, patashika nguo kuchanana, nikanyage bahati mbaya nikukwarue makusudi.

Magufuli Siasa zake zilikuwa kali, na ndio maana alipata response na reactions kali kutoka pande zote. Mama Samia Siasa zake zimepoa, na ndio maana anapata mashambulizi mepesi, yaliyopoa.

Na hii ndio inanikumbusha Third Law ya mtaalam Isaac Newton isemayo; for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction.
Ukitumia nguvu kubwa tegemea kujibiwa kwa nguvu kubwa, ukitumia nguvu ndogo basi tegemea kujibiwa kwa nguvu ndogo, na hivyo ndivyo Siasa zilivyo.

Kuna kanuni moja ambayo wanaotumia nguvu kubwa hawapaswi kuiacha, iisemayo; Attack is the secret of defense; defense is the planning of an attack.

Niwatakie usiku mwema.
Mama katika siasa anatumia akili kubwa zaidi ya u-professor wa darasani.

Muda sio mrefu atatunukiwa u-professor.
 
Back
Top Bottom