kwenzi JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 669 Reaction score 666 Aug 7, 2017 #81 Nahamia PSG sinaga ushabiki wa timu Bali mchezaji alipo nami nipo Sent using Jamii Forums mobile app
42_007 JF-Expert Member Joined Mar 10, 2015 Posts 1,561 Reaction score 824 Aug 7, 2017 #82 Aisee mtoa Mada ukapimwe mkojo jombaa
olele JF-Expert Member Joined Dec 2, 2010 Posts 1,305 Reaction score 1,572 Aug 10, 2017 #83 Wachezaji wote duniani kwa sasa wako chini ya vivuli vya Messi na Ronaldo, hata uende wapi huwezi kuvikwepa hivi vivuli. Ligi ambayo hata ukifunga magoli 40 unahesabika umefunga 20, maana yake huwezi beba kiatu cha mfungaji bora wa ulaya katika maisha yako Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji wote duniani kwa sasa wako chini ya vivuli vya Messi na Ronaldo, hata uende wapi huwezi kuvikwepa hivi vivuli. Ligi ambayo hata ukifunga magoli 40 unahesabika umefunga 20, maana yake huwezi beba kiatu cha mfungaji bora wa ulaya katika maisha yako Sent using Jamii Forums mobile app
Hckcode8 JF-Expert Member Joined Apr 25, 2016 Posts 370 Reaction score 245 Aug 10, 2017 #84 Yaani huu mwaka mbaya sana kwangu coz Neymar kaondoka alafu Niyonzima naye kasepa duuh
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Aug 11, 2017 #85 Vtu viwili 1.pesa 2. Kivuli cha messi