Ngano ni nafaka hatari sana

Tatizo ni maelezo yako kuwa general nso yanaleta taharuki. Si kila mtu anajikita kwenye 2% wakati unahimiza jamii iachane na ngano. Jamii haiwezi kuachana na ngano kwa sababu ya 2%.
Sijasema watu waache kutumia ngano, nimesema ni vyema watumie nafaka mbadala kama mahindi.
 
Sasa wewe ndio umeelezea vizuri
 
Kuna siku tutaambiwa ukivuta sana hewa ya" Oksijeni" mapafu yataoza subirini tu.
 
Mnapoandika kuhusu habari inayohusu watu wengi acheni kuleta taharuki.Andikeni ukweli.Gluten intolerance haimpati kila mtu mtu anayetumia ngano.Ni asilimia ndogo sana wanapatwa na tatizo hili.
Hivyo hivyo kwa karanga.Kuna watu wana allergy na karanga wakila karanga au hata chocolate yenye karanga wanapata matatizo ya kuhema na kuvimba hasa kwenye koo lakini haifanyi karanga kuwa zao la hatari.Kwani walio na tatizo hilo ni asilimia ndogo tu.Kuna watu wanapata matatizo ya kuhema kwa kula machungwa au wengine kusikia tu harufu ya chungwa likimenywa.
 
Ulaya wanategemea ngano miaka nenda rudi sijui wakiona hili onyo watafanyaje
 
Mbona mnatuchanyanya?ugali unaleta udumavu wa akili ngano nayo ni hatari kwa afya.
Haya mambo yatachanganya, kuna siku nasikiliza video ya wazee wa tiba mbadara wa Canada. Si tunaambiwa kuwa red meat ni hatari, wao wanakwambia kutokula red meat ni hatari zaidi maana ina manufaa kwa mwili ndio maana wanyama wanakula redmeat.
Pia kuna mmoja akaongeza shida ni kwamba watu hasa huko mbele wanakaula nyama bila kula vitu vya ndani kama matumbo, n.k.
 
Soma hapa.
Soma conclusion:
Inasemwa kuwa matatizo haya hutokea hadi kwa asilimia 2 ya watu wote.
Ni vyema tukatumia mikate ya mahindi, ulezi nk. Ngano ni hatari sana.
 
Ulaya wanategemea ngano miaka nenda rudi sijui wakiona hili onyo watafanyaje
Suala la gluten kuwa hatari lipo tu muda lakini halijawa big deal. Lakini kuhusu hatari ya gluten lipo tu. Kuna watu wana alergy na gluten hawali kabisa chakula chenye ngano. Hata mimi ninaye rafiki hapa tanzania akila kitu chenye ngano hilo balaa lake anaumwa. Na limeanzs kama miaka 3 iliopita.
 


Mikate ya mahindi ipoje??, juu ya yote unga wa sembe siku hizi unatiwa virutubisho (fortification chemicals), sina hakika kama hizo fortifications zina usalama gani!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…