Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #41
Sijasema watu waache kutumia ngano, nimesema ni vyema watumie nafaka mbadala kama mahindi.Tatizo ni maelezo yako kuwa general nso yanaleta taharuki. Si kila mtu anajikita kwenye 2% wakati unahimiza jamii iachane na ngano. Jamii haiwezi kuachana na ngano kwa sababu ya 2%.
Ndiyo maana vyakula vyao vingi huweka label Gluten freeKama ni hivyo, basi Wazungu ni waathirika namba moja.
Sasa wewe ndio umeelezea vizuriMnaokoteza habari mitandaoni, bila kuzisoma vizuri kisha mnakimbilia kuja kuanzisha nyuzi zenye taarifa zisizo sahihi. Acha nikurekebishe.
Si kila mtu ana allergy na gluten, kwa hiyo ngano haiwezi kuwa hatari kwa kila mtu. Itakuwa hatari tu kama mwili wa mtumiaji utakuwa na mzio na component/compound angalau moja iliyopo ndani ya ngano au kitu kingine chochote, mfano sabuni, manukato, n.k.
Hivi kujaa gas maana yake ndio kila saa unakua unajamba au?Hua sielewi vzr hio sentence mkuuNgoja niisome zaidi maana hata mimi nikila vyakula vya ngano tumbo linajaa gesi
Hata nyasi ni mbaya maana ina Cellulose ambazo mwili wako haina uwezo wa kuidigest.KILA KITU KIBAYA MNATAKA TULE NYASI AU??
Nani kasema kuwa kila mtu anaathirika? Watz tuna tatizo kubwa la kuelewa mambo yaliyoandikwa.
Tatizo ni maelezo yako kuwa general nso yanaleta taharuki. Si kila mtu anajikita kwenye 2% wakati unahimiza jamii iachane na ngano. Jamii haiwezi kuachana na ngano kwa sababu ya 2%.
Ulaya wanategemea ngano miaka nenda rudi sijui wakiona hili onyo watafanyajePia inaweza athiri ngozi na mtu kutoka mapele ya kuwasha kama mwenye ugonjwa mkali wa ngozi.
Pia inaweza sababisha matatizo kwenye ubongo na kusababisha mtu atembee kama aliyelewa.
Inasemwa kuwa matatizo haya hutokea hadi kwa asilimia 2 ya watu wote.
Ni vyema tukatumia mikate ya mahindi, ulezi nk. Ngano ni hatari sana.
Haya mambo yatachanganya, kuna siku nasikiliza video ya wazee wa tiba mbadara wa Canada. Si tunaambiwa kuwa red meat ni hatari, wao wanakwambia kutokula red meat ni hatari zaidi maana ina manufaa kwa mwili ndio maana wanyama wanakula redmeat.Mbona mnatuchanyanya?ugali unaleta udumavu wa akili ngano nayo ni hatari kwa afya.
Wote mmekurupuka. Pengine hamkusoma mada mpaka mwisho. Tuna hilo tatizo la ukurupukajiSoma hapa.
Soma conclusion:Soma hapa.
Suala la gluten kuwa hatari lipo tu muda lakini halijawa big deal. Lakini kuhusu hatari ya gluten lipo tu. Kuna watu wana alergy na gluten hawali kabisa chakula chenye ngano. Hata mimi ninaye rafiki hapa tanzania akila kitu chenye ngano hilo balaa lake anaumwa. Na limeanzs kama miaka 3 iliopita.Ulaya wanategemea ngano miaka nenda rudi sijui wakiona hili onyo watafanyaje
Mingine inakatazwa lkn watu wanaing'ang'ania balaa kbs.... gomba, cha Arusha na ugoro!!!Si ngano tu, mimea kibao ina "sumu."
Ngano ni nafaka hatari sana na watz wengi hatufahamu. Tofauti na nafaka zingine kama mahindi, ulezi, mtama na mchele, ngano ina aina fulani ya protin inayoitwa Gluten. Protin hii ndiyo hufanya ngano ikikandwa iwe kama banzoka wakati ukikanda unga wa mahindi hauwi namna ile.
Sasa hii protin inaweza kusababisha mzio(allergy/autoimmune reaction) ya hatari sana. Kifupi inaweza sababisha mwili ujishambulie. Maeneo yanayoathirika zaidi ni utumbo mdogo. Hili linaweza sababisha kuharisha bila kukoma, tumbo kujaa gesi, udumavu na afya dhaifu.
Pia inaweza athiri ngozi na mtu kutoka mapele ya kuwasha kama mwenye ugonjwa mkali wa ngozi.
Pia inaweza sababisha matatizo kwenye ubongo na kusababisha mtu atembee kama aliyelewa.
Inasemwa kuwa matatizo haya hutokea hadi kwa asilimia 2 ya watu wote.
Ni vyema tukatumia mikate ya mahindi, ulezi nk. Ngano ni hatari sana.
Wote mmekurupuka. Pengine hamkusoma mada mpaka mwisho. Tuna hilo tatizo la ukurupuka
Umeambiwa ngano, masuala ya viazi na migoho yanatokea wapi?;Asbh usinywe soup na chapati? Andazi na chai?
Daily viazi/ mihogo?
Sawa dokta.Wote mmekurupuka. Pengine hamkusoma mada mpaka mwisho. Tuna hilo tatizo la ukurupukaji