Ngao Ya Jamii, 2019: Simba SC yaichakaza Azam FC goli 4-2 kuchukua Ngao hiyo

Ngao Ya Jamii, 2019: Simba SC yaichakaza Azam FC goli 4-2 kuchukua Ngao hiyo

90+3' Wakati wowote mpira utamalizika

Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwisha ambapo Simba wakiibuka kwa ushindi wa mabao manne kwa mawili na kutawazwa kuwa mabingwa wa Ngao ya Jamii

Simba SC 4-2 Azam FC
 
Kwani kimetokea nini mbona wagulagula,mbutembute wanatoa povu.Kimetokea nini,??
 
Kwani kimetokea nini?Mbona nasikia vigelegele kwa mbali.Kimetokea nini,???
 
Kwani kimetokea nini?Mbona nasikia vigelegele kwa mbali.Kimetokea nini,???
Soma hiyo
FB_IMG_1566064881009.jpeg
 
Back
Top Bottom