Teh teh teh πππ huyu Mkude huenda akakiwasha mno hapo Jangwani ili kuwatia wivu waajiri wake wa zamani.Halafu wakati mnachukua! Jonas Mkude aka Casemiro, Skuda, Nzengeli, Beki Mkatili Gift Fred, na wengineo wengi; Watakuwa wanawaangalia tu!!
Acha ubishi wewe... We siunataka yatimie kaa kwa kutulia ujionee kikubwa uhai hayo mengine mpaka uletewe sijui link ni mbwembwe tu ila hizo zipo humu Jf mbona.Lete hizo link za uzi
Alianza kubashiri Yanga kupoteza Robo final dhidi ya Rivers, Akatabili Yanga kupoteza Semi dhidi ya Malumo, akatabili kupoteza dhidi Ya USM Algers.alibashiri Al ahly kubeba ubingwa champion league
alibashiri yanga kupoteza fainal
alibashiri Far rabat kuwa mabingwa wA morocco
alibashiri meko kudedi 2years before
Mtu ka join 2023 halafu unasema katabiri kifo cha Meko, kivipi?alibashiri Al ahly kubeba ubingwa champion league
alibashiri yanga kupoteza fainal
alibashiri Far rabat kuwa mabingwa wA morocco
alibashiri meko kudedi 2years before
Sio kuangalia tu, watakua wamepanga mstari kumpongeza kwa kupiga makofi mwenye ubingwa wake akipita kati yao.Halafu wakati mnachukua! Jonas Mkude aka Casemiro, Skuda, Nzengeli, Beki Mkatili Gift Fred, na wengineo wengi; Watakuwa wanawaangalia tu!!
Msimu upi...?Skudu alikuwa aingize goli la msimu Kama sio uhodari wa golikipa
JF inatabia ya kuhifadhi risiti, hebu tuwekee hizo threads alizo tabiri.alibashiri Al ahly kubeba ubingwa champion league
alibashiri yanga kupoteza fainal
alibashiri Far rabat kuwa mabingwa wA morocco
alibashiri meko kudedi 2years before
Swala sio kutaka yatimie, tunaomba reference tuone tabiri zake zilizopita maana watu wamedai hajawahi kosea. Tuanzie hapo kwanza kwenye kutokukosea. Leteni hizo link za tabiri zake tuzione.Acha ubishi wewe... We siunataka yatimie kaa kwa kutulia ujionee kikubwa uhai hayo mengine mpaka uletewe sijui link ni mbwembwe tu ila hizo zipo humu Jf mbona.
Wanaambiwa walete hizo tabiri wanaruka ruka tu hawana ushahidiJF inatabia ya kuhifadhi risiti, hebu tuwekee hizo threads alizo tabiri.
Huko Sundowns ni kama hakufanya kitu Pirates walijuta kumnunua wakamtoa Kwa mkopo mazima wewe Skudu humjui endelea kukaza fuvu muda utasema..Wa kawaida wakati amechezea timu kubwa kama Orlando pirates , mamelodi nk
Mbumbumbu wanapenda sana kudanganywa na waganga fekiMtu ka join 2023 halafu unasema katabiri kifo cha Meko, kivipi?
Yote kwa ujumlaMsimu upi...?
Ligi kuu 2023/2024..?
CAF champions League...?
CAF Confederation cup..?
ASFC...?
CAF Super league..?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
NakubaliBaada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.
Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
Hata Mikison na Chama huko Uarabuni walishindwa kufurukutaHuko Sundowns ni kama hakufanya kitu Pirates walijuta kumnunua wakamtoa Kwa mkopo mazima wewe Skudu humjui endelea kukaza fuvu muda utasema..
Mchezaji kila mwaka anahama timu hata Pirates kumpeleka Chippa United hawakuwa na ujanja walishaingia mkenge..
Hutaki sasa?
Kawaida ni nini?Skudu ni mchezaji wa kawaida sana ni kwavile mmemjua juzi,ni wakawaida sana SA..