ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sawa wewe huna fuvuEndeleeni kukaza fuvu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe huna fuvuEndeleeni kukaza fuvu!!
Kwa yanga hii labda pimbi uwape hilo kombe, hawalambi kitu
Halafu anatokea mtu anaidharau kazier, Yanga imemprove sana aiseee.
Kaizer alifungwa 3, na Simba alifungwa ngapi? mbona una sahau haraka? kuna goli linafungwa bila errors za wachezaji? Kama viwango vya CAF vinacheza mbona Azam FC anakugonga kama demu wake kila sikuYanga hii ina maajabu gani ??
Kushinda goli moja kwa makosa ya kipa wa kaizer kutokea??
Kaizer kapoteza mechi 4 kati ya mechi tano za mwisho.
Kaizer aliepigwa. 3-0. na simba??
Kaizer ambaye yupo nafasi ya chini sana katika viwango vya soka barani Africa??
Wako wachezaji wengi bongo walio na viwango zaidi ya skuduWakimchukua Skudu na Maxi huenda wakafanikiwa.
Hata msimu uliopita alitabiri Yanga atakuwa bingwa?Kwenye bashiri zako hujawai kukosea,hii nayo imeenda penyewe.
Jibu ni ndio.Hata msimu uliopita alitabiri Yanga atakuwa bingwa?
Hahahaha yaani kipimo chako kikuu ni ile mechi ya bonanza, ushawahi kuona wapi mechi timu inacheza first half then 2nd half wanaingia wachezaji wote 11 wapya?? Yaani sub ya wachezaji 11.Yanga hii ina maajabu gani ??
Kushinda goli moja kwa makosa ya kipa wa kaizer kutokea??
Kaizer kapoteza mechi 4 kati ya mechi tano za mwisho.
Kaizer aliepigwa. 3-0. na simba??
Kaizer ambaye yupo nafasi ya chini sana katika viwango vya soka barani Africa??
Utabiri uwe bora usitolewe na pimbi47Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.
Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
Kwa uchezaji wa Simba hii ya jana, wasiposhika nafasi ya nne ligi kuu na FA, nahamia Burundi.Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.
Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
Simba ipi iwe bingwa wa nbc na azam fc? Au hata kubeba ndoo ya ngao ya jamii?Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.
Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
HONGERA MKUU KWA UTABIRI SASA VYURA WAMELALA MAPEMABaada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.
Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
Ila wewe pimbi mkuuUtabiri wa kipimbi kutoka kwa pimbi