Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

Nyerere hakuwa mjinga kupeleka mwenge na bendera ya taifa kwenye killed cha mlima Kilimanjaro, yule mzee alikuwa ana vitu vingi sana. Simba nao wamepita mle mle;siyo wajinga kupeleka kibegi kileleni.

Mambo ya kiroho yana vitu ambayo mwenye akili ya kawaida ataona ni upuuzi, na hiki kizazi cha wabishi ila wasiojua lolote, hakitabaini jambo hili kirahisi.NDO UMEISHA HIYO, Yanga wasubiri musimu mwingine.
Ni kweli simba ni bingwa
 
Nyerere hakuwa mjinga kupeleka mwenge na bendera ya taifa kwenye killed cha mlima Kilimanjaro, yule mzee alikuwa ana vitu vingi sana. Simba nao wamepita mle mle;siyo wajinga kupeleka kibegi kileleni.

Mambo ya kiroho yana vitu ambayo mwenye akili ya kawaida ataona ni upuuzi, na hiki kizazi cha wabishi ila wasiojua lolote, hakitabaini jambo hili kirahisi.NDO UMEISHA HIYO, Yanga wasubiri musimu mwingine.
Duh hatari sana
 
Back
Top Bottom