Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Kikundi cha Umoja wa Wanawake Maendeleo katika mkutano waliouandaa wamechangia jumla ya shilingi 513,400 kwaajili ya Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuchukua fomu ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025
Ndaisaba Ruhoro amesema, ifikapo mwaka 2025 tunakwenda kupata mgombea mwana Mama katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Watu wa Rulenge mmeonyesha njia, mfano mwema kwa Wanawake wote wa Tanzania
Mbunge Ndaisaba Ruhoro ameahidi kutoa Sola na Taa kubwa za kisasa za kufungwa juu barabarani katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Rulenge, Ngara ili Wanawake Wajasiriamali wafanye biashara zao kwa Uhuru
Aidha, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amepongeza Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM akiwemo Ndugu Kachunkwa ambaye ni mfanyabiashara wa Rulenge, Ngara na kuendelea kuwakaribisha wanachama wengine walio tayari wajiunge na CCM
Ndaisaba Ruhoro amesema, ifikapo mwaka 2025 tunakwenda kupata mgombea mwana Mama katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Watu wa Rulenge mmeonyesha njia, mfano mwema kwa Wanawake wote wa Tanzania
Mbunge Ndaisaba Ruhoro ameahidi kutoa Sola na Taa kubwa za kisasa za kufungwa juu barabarani katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Rulenge, Ngara ili Wanawake Wajasiriamali wafanye biashara zao kwa Uhuru
Aidha, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amepongeza Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM akiwemo Ndugu Kachunkwa ambaye ni mfanyabiashara wa Rulenge, Ngara na kuendelea kuwakaribisha wanachama wengine walio tayari wajiunge na CCM
Attachments
-
WhatsApp Image 2024-11-17 at 10.57.16.jpeg104.8 KB · Views: 4 -
WhatsApp Image 2024-11-17 at 10.57.18.jpeg110.9 KB · Views: 2 -
WhatsApp Image 2024-11-17 at 10.57.21.jpeg105.5 KB · Views: 3 -
WhatsApp Image 2024-11-17 at 10.57.23.jpeg104.8 KB · Views: 3 -
WhatsApp Image 2024-11-17 at 10.57.25.jpeg109.4 KB · Views: 2