Ngoja leo niwape kastory flani kuhusu dear X

Ngoja leo niwape kastory flani kuhusu dear X

Umefanya jambo jema sana. Mungu mwenyewe alikua hapendezwi na wewe kuifungia hiyo kitu ndani, alikupa ili uwape watu hao kina dk waitumie. Kuificha ndani ndio ulikua unamkosea zaidi.

Hongera kwake DK.

Somo la hii mada kwa vijana, usiachane na mwanamke, usimtamkie mwanamke umemuacha. Hata kama humpendi acha ajiondokee mwenyewe. Ukimuacha mwanamke kwa staili hiyo siku ukitaka kujipigia unajipigia kwa urahisi tu kama dk ila ukimtamkia umemuacha siku ukimtaka itabidi umtongoze upya.
DK tulipendana Sana asee
Yaniiiiii
Acha tu na lile lisauti La zege
 
Vizuri kuwa tayari kwa lolote maana binadamu sie, hauchelewi kushangazwa!
Tunachojua mioyo yetu ina furaha kukutana tena..
Dee unamkiss yani unataman ummeze mzima mzima
Ooh he is the sweetest thing ever happened in my life
 
Tunachojua mioyo yetu ina furaha kukutana tena..
Dee unamkiss yani unataman ummeze mzima mzima
Ooh he is the sweetest thing ever happened in my life
Uzuri nyie mnaingia na miguu yote miwili wengine tunaingia mguu mmoja nje mwingine ndani ili likitokea la kutokea tuna pakuanzia
 
Back
Top Bottom