Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio shetani bwana!God's ways hazitafsiriki kwa wepesi.Umeona eeh
Yani nilikuwa uweponi full Ghafla tu shetani huyuu
DK tulipendana Sana aseeUmefanya jambo jema sana. Mungu mwenyewe alikua hapendezwi na wewe kuifungia hiyo kitu ndani, alikupa ili uwape watu hao kina dk waitumie. Kuificha ndani ndio ulikua unamkosea zaidi.
Hongera kwake DK.
Somo la hii mada kwa vijana, usiachane na mwanamke, usimtamkie mwanamke umemuacha. Hata kama humpendi acha ajiondokee mwenyewe. Ukimuacha mwanamke kwa staili hiyo siku ukitaka kujipigia unajipigia kwa urahisi tu kama dk ila ukimtamkia umemuacha siku ukimtaka itabidi umtongoze upya.
Sawa, tunasubiri muendelezo.Hilo sitaki kujua maana hata yeye hajataka kujua ya kwangu
Kikubwa mioyo iliyopoteana imekutana
Basi mshukuru Mungu, hayo ni matokeo baada ya kuamua kumtumikia upya.Usijali Sisi ni ww milele. Kifup DK ni Yule ex ambaye haachiki
Nami natamani iwe hivyo lakini sasa!! sijui tukuambie au tusubiri uone mwenyewe!I wish Dee niwe nae milele
Vizuri kuwa tayari kwa lolote maana binadamu sie, hauchelewi kushangazwa!Haha Niko tayari kwa lolote... Uzuri hatujawekeana mipaka.
Nitumie picha yako pm ni proveJaman me mwanamke sio mwanaume
Uzuri nyie mnaingia na miguu yote miwili wengine tunaingia mguu mmoja nje mwingine ndani ili likitokea la kutokea tuna pakuanziaTunachojua mioyo yetu ina furaha kukutana tena..
Dee unamkiss yani unataman ummeze mzima mzima
Ooh he is the sweetest thing ever happened in my life
Ukilewa usichatTulisha kubaliana usianzishe uzi ukisha kua nduki mazee...😜
Kipindi hichoo nazama...saizi wake wa2 na michepuko 4 .Uzuri nyie mnaingia na miguu yote miwili wengine tunaingia mguu mmoja nje mwingine ndani ili likitokea la kutokea tuna pakuanzia