bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
tatizo la kunywa visungura wakati wa jua kali halafu una njaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba apewe pongezi kwa kweli ame pata mke , amzingatie sana watafika mbali mno.Sio kuzama Ila kama nimefika lazima njiachie. Sitaki maigizo. Nainjoi moment ikiisha basii
Kwa hio unatudanganya sio!Mume wangu najua huwa unapita hapa. Ila usichukulie serious Sana haya yalishapitamo
Pendaell pale Sina ujanjaMwamba apewe pongezi kwa kweli ame pata mke , amzingatie sana watafika mbali mno.
Embu nipe nioneNampoza mwamba na wwe. Kama huamini njoo nikupe ushahidi
Maybe hamkukutana njiani , yaani mmetoka mbali sio?Pendaell pale Sina ujanja
Niamue tu kuikatili nafsi Ila tukikutana hakuna mwenye ubavu wa kumkata mwingine.
Labda tuishi mikoa tofauti Ila kosa kuwa karibu ni shida
Ohh, vizuri.Yeah tulitoka mbali na family yake inanijua na kunipenda haswaa
Mama yake alitamani Sana niwe mkwe
Nimekiri uzaifuMkuu Kuwa karibu na Mungu na kumtumikia Mungu sio kwenda kanisani.
Ila ni kufuata sheria zake zote Kwa uaminifu.
Na unasema kabisa unafurahia huo Uzinzi na unasema Mungu akusamehe.
Seriously? Jitafakari.
Nanukuu
"Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.
Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu."
🤣🤣Hivi konyagi ndogo wameacha kutoa fake??
Eksii ambaye haachiki yukoje?Usijali Sisi ni ww milele. Kifup DK ni Yule ex ambaye haachiki
amshapopo anamjua
Waaache??!!!! Labda sio wananchi wa Vingunguti.....Hivi konyagi ndogo wameacha kutoa fake??
HahahaHivi konyagi ndogo wameacha kutoa fake??
HahahaDaah jamaa anajipigia tu mbususu iliyobana aisee.