Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Huoni nao wanalalamika?Watoto mataifa yaliyoendelea hawapigwi Huko nako unasema je ndugu?
Baada ya kuusoma huu uzi wa LIKUD nimezidi kuyakinisha kuwa kuna tofauti kubwa sana ya sababu za wazazi kumsomesha mtoto private schools nchi za duniani huko na sababu za wazazi wa Tanzania kumpeleka mtoto "private school".
Mfano wa nchi mbili ninazozidahamu mimi, Uingereza na Canada, mtoto anapelekwa "private schools" kwa sababu ya wazazi na hao anafunzi kujenga "connections" tu, si vingine.
Dunia ya leo siyo "what do you know" ni "whom do you know".
Hapa Tanzania ni watu wachache sana niliokutana nao wenye kulifahamu hilo.
Sahihi kabisa mkuuHufanikiwi kwa kusociliaze na watu. Unafanikiwa kwa kujitambua wewe ni nani na unataka nini kwenye maisha yako. Kwa bahati mbaya elimu itolewayo shule binafsi haimfanyi mtu ajitambue kwa sababu inamfanya mwanafunzi awaze kuhusu masomo tu. Saint Kayumba ndiyo mpango mzima. Mtoto anakuwa timamu wa akili, mwili nk. Siyo watoto mdebwedo wa shule za binafsi
Everyone has a clear idea on how other people should lead their lives, But none about his or her own life.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sawa kwa maoni yako elimu ya Tanzania ni mbovu kama ya Marekani. Umewahi kusoma Marekani? Unajua uhuru wa kila jimbo la Marekani kuendesha shule na vyuo vyake?Ubovu wa elimu haupo Tanzania tu ni dunia nzima elimu mbovu. Wamarekani wenyewe wanalalamika kuwa mfumo wa elimu yao umefirisika. Kwa hiyo tatizo la elimu kuwa mbovu ni la dunia nzima. Halafu elimu bora siyo ile ipatikanayo darasani. Watu wanao excel kwenye maisha yao kwa uhuru ni wale ambao hawaelekezwi cha kufanya. Wanafanya wanachotaka wao. Waliosoma sana darasani wao wanapenda kupangiwa vitu vya kufanya na kuamrishwa na watu wengine. Very incompetent.
Na mfano halisi wa hiki ulichoandika ni huyu mwanadada mtangazaji wa Wasafi anayejiita (Diva The bawse)Kayumba mtoto anajua vitu vingi kuhusu maisha ,,,kufagia uwanja ,kupanda maua ,kufanya usafi chooni na darasani ,usafi kuanzia kiatu mpaka mavazi ....maana yote hayo anayafanya mwenyewe Tena Kwa fimbo ....kuelekezwa kidogo na kujitafutia kingiii .......na haya ndio maisha halisi ya Duniani ...
Kutana sasa na Hao st Mary's sijui nin ,uzungu mwingi tu [emoji23]...mtoto WA kike anajua U nooo ,bikozi ,ze boyifurendi.....kupika haijui ,kufua hajui ,usafi hajui ,hata kufagia uwanja hawezi ....anakuwa boyaaaa boyaaaa ti zobaaaa shittyt kabisa
Siku hizi paper nyepesi.. enzi zetu unaweza kuingia na nondo na bado usijue utaiapply wapiShule za kayumba kwa sasa wamejitahidi tofauti na hapo nyuma. Tupeleke watoto wakasome
Sio Dunia ya leo, sema Afrika na nchi zinazoendelea ndio zina mifumo ya kujuana "whom do you know"Baada ya kuusoma huu uzi wa LIKUD nimezidi kuyakinisha kuwa kuna tofauti kubwa sana ya sababu za wazazi kumsomesha mtoto private schools nchi za duniani huko na sababu za wazazi wa Tanzania kumpeleka mtoto "private school".
Mfano wa nchi mbili ninazozidahamu mimi, Uingereza na Canada, mtoto anapelekwa "private schools" kwa sababu ya wazazi na hao anafunzi kujenga "connections" tu, si vingine.
Dunia ya leo siyo "what do you know" ni "whom do you know".
Hapa Tanzania ni watu wachache sana niliokutana nao wenye kulifahamu hilo.
Thus why mapunga wengi kwa sababu ya malezi ya kijinga wanayopewa watoto kuanzia majumbani mpaka mashuleni.Watoto mataifa yaliyoendelea hawapigwi Huko nako unasema je ndugu?
Duuh🤭 hatari hii..Huyu ana ahueni kuna dada mmoja mlokole best yangu, ni single mother , kamsomesha mtoto wake wa kiume shule za private kuanzia chekechea hadi form four . Dogo kapata one form form four ila anataka kusoma chuo. Kozi anayoitaka sasa!!! Anataka driving.
Duh!...Tanzania kuna vitu viwili vinanitisha ukitoa matatizo yetu yote. Elimu, unaenda shule kuongezewa ujinga na Afya unaenda Hospital kuchukuliwa uhai wako.
[emoji4] nimeipenda hii, una hoja usikilizwe.Siku nikiona watoto wa mawaziri au wabunge wa ccm wapo kayumba na mimi nitapeleka wanangu kayumba,watawala sio wajinga.
Kwani kasoma private (English medium)?Na mfano halisi wa hiki ulichoandika ni huyu mwanadada mtangazaji wa Wasafi anayejiita (Diva The bawse)
Huyo mwanadada kupika chochote kile ni mpaka aingie youtube kujifunza, kufua hawezi, mashine ndo zinafua, mwanamke kama huyu unamuoa kutafuta nini kama siyo balaaa!!
Upo "very wrong", katika maisha yangu nimeishi nchi za nje zaidi ya nilivyoishi Tanzania. Hakuna sehemu duniani usiyohitaji "apropriate connections".Sio Dunia ya leo, sema Afrika na nchi zinazoendelea ndio zina mifumo ya kujuana "whom do you know"
Kwa nchi zilizoendelea, Huitaji kujuana na mtu yeyote ili ufanikiwe au upatiwe kitu fulani.
Vigezo, ujuzi na Elimu yako ndio vitakubeba
Haya maswala ya "Whom do you know" yapo barani Afrika kwa sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Thus why mapunga wengi kwa sababu ya malezi ya kijinga wanayopewa watoto kuanzia majumbani mpaka mashuleni.
biblia yenyewe inasema usimnyime mtoto mapigo, maana fimbo itauondolea mbali ujinga wake.
Mbona utaji ma elifu walio shindwa maisha kwasbb ya elimu hiyo mbovuHata Nyani Ngabu Kiranga na Wyatt Mathewson wamesoma Kayumba ila hapa Jf ndio Ma English wizards na sasa hivi wapo zao mamtoni huko wanakula maisha.
Hata Maxence Melo muasisi wa JF na yeye alisoma Kayumba. So wanao zidharau kayumba ni watumwa.