Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako.
1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Tsh. 17000 = Km. 200
? = Km. 1
Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85
Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita 10 hadi 12. Chukulia lita moja ya petroli ni Tsh. 2886
Tsh. 2886 = Km. 12
? = Km. 1
Km 1 = Tsh. 2886/12 = Tsh. 240.5
Sasa ukitumia gesi kwenye gari yako kwa kila kilometa 1 unaokoa Tsh. ngapi?
Unaokoa = Tsh. 240.5 - Tsh. 85 = Tsh 155.5
Kumbe kwa kila Km. 1 unaokoa Tsh. 155.5
Gharama za kuiongezea mfumo wa gesi gari yako ni Tsh. 1,800,000. Tunazibadili hizi kwenda kwenye Km.
Km 1 = Tsh. 85
? = Tsh 1800,000
Tsh 1800, 000 = Km. 21176.5
Unataka tujue katika Km. hizo tunaokoa Tsh. ngapi?
Km. 1 = unaokoa Tsh. 155.5
Km. 21176.5 = ?
Unaokoa = Tsh. 21176.5 × 155.5 = Tsh. 3,292,941
Sasa unaweza kuona ukiongeza mfumo wa gesi unatumia Tsh. 1,800,000 ambazo zinakuwezesha kutembea Km. 21176.5 kama ukizitumia kununulia gesi. Sasa ukitembea Km. 21176.5 hizo kwa kutumia gesi utaokoa Tsh 3,292,941. Kumbe gharama uliyotumia kubadilisha gari yako itumie gesi itarudi ukisha tembea Km. 21176.5 na faida juu.
2. Kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye gari inayotumia mafuta inagharimu Tsh. 1,800,000. Gharama hii ni kwa gari zenye cc 400-2000. Na kutakua na ongezeko la Tsh. 80,000 endapo kama spark plugs hazitaruhusu mfumo huo.
3. Ukisafiri kwa kutumia Tsh. 100,000 za mafuta ukitumia gesi utatumia Tsh. 40,000 tu. Umeokoa Tsh. 60,000.
4. Ukiweka mafuta ya Tsh. 45,000, kwa mwezi utatumia Tsh. 1,350,000. Kwa miezi miwili ni Tsh. 2,700,000.
Gesi unaweka ya Tsh. 17,000 na unatumia siku 2 mpaka 3. Inamaana unaongeza gesi kila baada ya siku 2 or 3.
Kama kila baada ya siku 2 unaongeza gesi mara 15 kwa mwezi (Tsh. 17,000 × 15 = Tsh. 255,000). Kwa miezi mwili hii ni Tsh. 510,000.
Gharama za kuongeza mfumo wa gesi ni 1, 800,000 + gesi ya miezi miwili ni Tsh. 510,000 jumla ni Tsh. 2,300,000.
Hivyo ukichukua gharama za mafuta kwa miezi miwili Tsh. 2,700,000 ukatoa gharama ya kufunga mfumo wa gesi na matumizi ya miezi mwili ya Tsh. 2,300,000 unabakia na Tsh. 400,000.
Kwa hiyo kwa mfano huu faida unaanza kuiona baada ya miezi miwili. Kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia Tsh.1,300,000 kwa mafuta anatumia Tsh.255,000.
Hivyo unaweza kuona jinsi unavyo okoa fedha nyingi ukiongezea mfumo wa gesi kwenye gari yako inayotumia mafuta.
Ukitaka kuongeza mfumo wa gesi kwenye gari yako embu piga namba hii +255747744895/+255687746471
Kama unahitaji msaada wa kuandika na kuhariri documents zako mbalimbali, tunayo habari njema kwako!
Bright and Genius Editors wapo hapa kukusaidia.
Tunatoa huduma za uandishi na uhariri wa documents za aina zote.
Wasiliana nasi kwa njia yoyote upendayo:
Piga/WhatsApp : +255687746471/+255612607426
WeChat ID: bandg_editors
Barua pepe: bandg.editors@gmail.com/submit@bgeditors.com/contact@bgeditors.com
Pia, unaweza kutembelea tovuti yetu www.bgeditors.com, Bright & Genius Editors kujifunza zaidi kuhusu huduma zetu na kufanya maombi yako moja kwa moja kutoka kwenye tovuti yetu.
1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Tsh. 17000 = Km. 200
? = Km. 1
Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85
Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita 10 hadi 12. Chukulia lita moja ya petroli ni Tsh. 2886
Tsh. 2886 = Km. 12
? = Km. 1
Km 1 = Tsh. 2886/12 = Tsh. 240.5
Sasa ukitumia gesi kwenye gari yako kwa kila kilometa 1 unaokoa Tsh. ngapi?
Unaokoa = Tsh. 240.5 - Tsh. 85 = Tsh 155.5
Kumbe kwa kila Km. 1 unaokoa Tsh. 155.5
Gharama za kuiongezea mfumo wa gesi gari yako ni Tsh. 1,800,000. Tunazibadili hizi kwenda kwenye Km.
Km 1 = Tsh. 85
? = Tsh 1800,000
Tsh 1800, 000 = Km. 21176.5
Unataka tujue katika Km. hizo tunaokoa Tsh. ngapi?
Km. 1 = unaokoa Tsh. 155.5
Km. 21176.5 = ?
Unaokoa = Tsh. 21176.5 × 155.5 = Tsh. 3,292,941
Sasa unaweza kuona ukiongeza mfumo wa gesi unatumia Tsh. 1,800,000 ambazo zinakuwezesha kutembea Km. 21176.5 kama ukizitumia kununulia gesi. Sasa ukitembea Km. 21176.5 hizo kwa kutumia gesi utaokoa Tsh 3,292,941. Kumbe gharama uliyotumia kubadilisha gari yako itumie gesi itarudi ukisha tembea Km. 21176.5 na faida juu.
2. Kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye gari inayotumia mafuta inagharimu Tsh. 1,800,000. Gharama hii ni kwa gari zenye cc 400-2000. Na kutakua na ongezeko la Tsh. 80,000 endapo kama spark plugs hazitaruhusu mfumo huo.
3. Ukisafiri kwa kutumia Tsh. 100,000 za mafuta ukitumia gesi utatumia Tsh. 40,000 tu. Umeokoa Tsh. 60,000.
4. Ukiweka mafuta ya Tsh. 45,000, kwa mwezi utatumia Tsh. 1,350,000. Kwa miezi miwili ni Tsh. 2,700,000.
Gesi unaweka ya Tsh. 17,000 na unatumia siku 2 mpaka 3. Inamaana unaongeza gesi kila baada ya siku 2 or 3.
Kama kila baada ya siku 2 unaongeza gesi mara 15 kwa mwezi (Tsh. 17,000 × 15 = Tsh. 255,000). Kwa miezi mwili hii ni Tsh. 510,000.
Gharama za kuongeza mfumo wa gesi ni 1, 800,000 + gesi ya miezi miwili ni Tsh. 510,000 jumla ni Tsh. 2,300,000.
Hivyo ukichukua gharama za mafuta kwa miezi miwili Tsh. 2,700,000 ukatoa gharama ya kufunga mfumo wa gesi na matumizi ya miezi mwili ya Tsh. 2,300,000 unabakia na Tsh. 400,000.
Kwa hiyo kwa mfano huu faida unaanza kuiona baada ya miezi miwili. Kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia Tsh.1,300,000 kwa mafuta anatumia Tsh.255,000.
Hivyo unaweza kuona jinsi unavyo okoa fedha nyingi ukiongezea mfumo wa gesi kwenye gari yako inayotumia mafuta.
Ukitaka kuongeza mfumo wa gesi kwenye gari yako embu piga namba hii +255747744895/+255687746471
Kama unahitaji msaada wa kuandika na kuhariri documents zako mbalimbali, tunayo habari njema kwako!
Bright and Genius Editors wapo hapa kukusaidia.
Tunatoa huduma za uandishi na uhariri wa documents za aina zote.
Wasiliana nasi kwa njia yoyote upendayo:
Piga/WhatsApp : +255687746471/+255612607426
WeChat ID: bandg_editors
Barua pepe: bandg.editors@gmail.com/submit@bgeditors.com/contact@bgeditors.com
Pia, unaweza kutembelea tovuti yetu www.bgeditors.com, Bright & Genius Editors kujifunza zaidi kuhusu huduma zetu na kufanya maombi yako moja kwa moja kutoka kwenye tovuti yetu.