Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako na jinsi utakavyo okoa fedha nyingi

Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako na jinsi utakavyo okoa fedha nyingi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako.

1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Tsh. 17000 = Km. 200
? = Km. 1
Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85

Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita 10 hadi 12. Chukulia lita moja ya petroli ni Tsh. 2886
Tsh. 2886 = Km. 12
? = Km. 1
Km 1 = Tsh. 2886/12 = Tsh. 240.5

Sasa ukitumia gesi kwenye gari yako kwa kila kilometa 1 unaokoa Tsh. ngapi?

Unaokoa = Tsh. 240.5 - Tsh. 85 = Tsh 155.5

Kumbe kwa kila Km. 1 unaokoa Tsh. 155.5

Gharama za kuiongezea mfumo wa gesi gari yako ni Tsh. 1,800,000. Tunazibadili hizi kwenda kwenye Km.

Km 1 = Tsh. 85
? = Tsh 1800,000
Tsh 1800, 000 = Km. 21176.5

Unataka tujue katika Km. hizo tunaokoa Tsh. ngapi?

Km. 1 = unaokoa Tsh. 155.5
Km. 21176.5 = ?

Unaokoa = Tsh. 21176.5 × 155.5 = Tsh. 3,292,941

Sasa unaweza kuona ukiongeza mfumo wa gesi unatumia Tsh. 1,800,000 ambazo zinakuwezesha kutembea Km. 21176.5 kama ukizitumia kununulia gesi. Sasa ukitembea Km. 21176.5 hizo kwa kutumia gesi utaokoa Tsh 3,292,941. Kumbe gharama uliyotumia kubadilisha gari yako itumie gesi itarudi ukisha tembea Km. 21176.5 na faida juu.

2. Kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye gari inayotumia mafuta inagharimu Tsh. 1,800,000. Gharama hii ni kwa gari zenye cc 400-2000. Na kutakua na ongezeko la Tsh. 80,000 endapo kama spark plugs hazitaruhusu mfumo huo.

3. Ukisafiri kwa kutumia Tsh. 100,000 za mafuta ukitumia gesi utatumia Tsh. 40,000 tu. Umeokoa Tsh. 60,000.

4. Ukiweka mafuta ya Tsh. 45,000, kwa mwezi utatumia Tsh. 1,350,000. Kwa miezi miwili ni Tsh. 2,700,000.
Gesi unaweka ya Tsh. 17,000 na unatumia siku 2 mpaka 3. Inamaana unaongeza gesi kila baada ya siku 2 or 3.
Kama kila baada ya siku 2 unaongeza gesi mara 15 kwa mwezi (Tsh. 17,000 × 15 = Tsh. 255,000). Kwa miezi mwili hii ni Tsh. 510,000.
Gharama za kuongeza mfumo wa gesi ni 1, 800,000 + gesi ya miezi miwili ni Tsh. 510,000 jumla ni Tsh. 2,300,000.

Hivyo ukichukua gharama za mafuta kwa miezi miwili Tsh. 2,700,000 ukatoa gharama ya kufunga mfumo wa gesi na matumizi ya miezi mwili ya Tsh. 2,300,000 unabakia na Tsh. 400,000.

Kwa hiyo kwa mfano huu faida unaanza kuiona baada ya miezi miwili. Kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia Tsh.1,300,000 kwa mafuta anatumia Tsh.255,000.

Hivyo unaweza kuona jinsi unavyo okoa fedha nyingi ukiongezea mfumo wa gesi kwenye gari yako inayotumia mafuta.

Ukitaka kuongeza mfumo wa gesi kwenye gari yako embu piga namba hii +255747744895/+255687746471


Kama unahitaji msaada wa kuandika na kuhariri documents zako mbalimbali, tunayo habari njema kwako!

Bright and Genius Editors wapo hapa kukusaidia.
Tunatoa huduma za uandishi na uhariri wa documents za aina zote.

Wasiliana nasi kwa njia yoyote upendayo:

Piga/WhatsApp : +255687746471/+255612607426
WeChat ID: bandg_editors
Barua pepe: bandg.editors@gmail.com/submit@bgeditors.com/contact@bgeditors.com

Pia, unaweza kutembelea tovuti yetu www.bgeditors.com, Bright & Genius Editors kujifunza zaidi kuhusu huduma zetu na kufanya maombi yako moja kwa moja kutoka kwenye tovuti yetu.
 
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako.

1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Tsh. 17000 = Km. 200
? = Km. 1
Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85

Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita 10 hadi 12. Chukulia lita moja ya petroli ni Tsh. 2886
Tsh. 2886 = Km. 12
? = Km. 1
Km 1 = Tsh. 2886/12 = Tsh. 240.5

Sasa ukitumia gesi kwenye gari yako kwa kila kilometa 1 unaokoa Tsh. ngapi?

Unaokoa = Tsh. 240.5 - Tsh. 85 = Tsh 155.5

Kumbe kwa kila Km. 1 unaokoa Tsh. 155.5

Gharama za kuiongezea mfumo wa gesi gari yako ni Tsh. 1,800,000. Tunazibadili hizi kwenda kwenye Km.

Km 1 = Tsh. 85
? = Tsh 1800,000
Tsh 1800, 000 = Km. 21176.5

Unataka tujue katika Km. hizo tunaokoa Tsh. ngapi?

Km. 1 = unaokoa Tsh. 155.5
Km. 21176.5 = ?

Unaokoa = Tsh. 21176.5 × 155.5 = Tsh. 3,292,941

Sasa unaweza kuona ukiongeza mfumo wa gesi unatumia Tsh. 1,800,000 ambazo zinakuwezesha kutembea Km. 21176.5 kama ukizitumia kununulia gesi. Sasa ukitembea Km. 21176.5 hizo kwa kutumia gesi utaokoa Tsh 3,292,941. Kumbe gharama uliyotumia kubadilisha gari yako itumie gesi itarudi ukisha tembea Km. 21176.5 na faida juu.

2. Kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye gari inayotumia mafuta inagharimu Tsh. 1,800,000. Gharama hii ni kwa gari zenye cc 400-2000. Na kutakua na ongezeko la Tsh. 80,000 endapo kama spark plugs hazitaruhusu mfumo huo.

3. Ukisafiri kwa kutumia Tsh. 100,000 za mafuta ukitumia gesi utatumia Tsh. 40,000 tu. Umeokoa Tsh. 60,000.

4. Ukiweka mafuta ya Tsh. 45,000, kwa mwezi utatumia Tsh. 1,350,000. Kwa miezi miwili ni Tsh. 2,700,000.
Gesi unaweka ya Tsh. 17,000 na unatumia siku 2 mpaka 3. Inamaana unaongeza gesi kila baada ya siku 2 or 3.
Kama kila baada ya siku 2 unaongeza gesi mara 15 kwa mwezi (Tsh. 17,000 × 15 = Tsh. 255,000). Kwa miezi mwili hii ni Tsh. 510,000.
Gharama za kuongeza mfumo wa gesi ni 1, 800,000 + gesi ya miezi miwili ni Tsh. 510,000 jumla ni Tsh. 2,300,000.

Hivyo ukichukua gharama za mafuta kwa miezi miwili Tsh. 2,700,000 ukatoa gharama ya kufunga mfumo wa gesi na matumizi ya miezi mwili ya Tsh. 2,300,000 unabakia na Tsh. 400,000.

Kwa hiyo kwa mfano huu faida unaanza kuiona baada ya miezi miwili. Kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia Tsh.1,300,000 kwa mafuta anatumia Tsh.255,000.

Hivyo unaweza kuona jinsi unavyo okoa fedha nyingi ukiongezea mfumo wa gesi kwenye gari yako inayotumia mafuta.

Ukitaka kuongeza mfumo wa gesi kwenye gari yako embu piga namba hii 0747744895
We sema unafunga mfumo wa gas hizo hesabu za kiwaki hata sikuelewi

Kwa hip unamaanisha gari yoyote iwe vx iwe passo inaenda kilometa 200 kwa gas ya elf 17 au unazungmzia passo na duet
Vp kuhusu performance wengine swala la mafuta sio kigezo tunataka performance niliweka mguu pale ni chapu
 
We sema unafunga mfumo wa gas hizo hesabu za kiwaki hata sikuelewi

Kwa hip unamaanisha gari yoyote iwe vx iwe passo inaenda kilometa 200 kwa gas ya elf 17 au unazungmzia passo na duet
Vp kuhaki hata siku
Boss huo ni mfano wa jumla, speed ya kutumia mafuta itaenda sambamba na speed ya kutumia gesi kama jinsi nilivyofanya kwenye hesabu hizo. Sasa jiulize gari yako inatumiaje mafuta kisha husianisha na hizo hesabu nilizofanya kama ikitumia gesi utaweza kupata jibu.

Kuhusu ufanisi yaani performance ya gari kama ukitumia gari itakua ni sawa tu na ukitumia gesi boss. Na uzuri ni kwamba ukiongeza mfumo wa gesi utakua na uwezo wa kurudi tena kwenye mafuta kama ukihitaji hivyo.

Karibu sana boss uiongezee mfumo gari yako.
 
Vituo vya kujaza hiyo gesi viongezeke sasa unataka kila baada ya siku 2 niende ubungo kutokea kongowe si itakuwa pata potea mkaliangalie hilo
Kwenye mfumo wa gesi haipo hivyo boss ukijaza gesi inakaa muda mrefu. Ikiisha kama haupo karibu na kituo unaweza kuswichi kutumia mfumo wa mafuta mpaka utakapojaza tena gesi.
 
Shida wenye magari wakishahamia huko kwenye gesi ghafla zitawekwa kodi na tozo za ajabu ajabu hadi gharama iwe sawa na mafuta.

So, usidhani itaendelea kubaki hiyo 17,000; Zungu atapendekeza kodi iongezwe kwenye CNG kwa asilimia 1000% ili zipatikane fedha za "kujengea madarasa na matundu ya vyoo maeneo ya vijijini" then Bunge zima bila kuhoji litaunga hoja mkono kwa 100% halafu inakuwa imetoka; ni utekelezaji tu kununua V8's.

Hii nchi haijawahi kuwa rafiki kwa mlaji hususan wenye magari wananyanyasika vibaya mno.
 
Ga
Boss huo ni mfano wa jumla, speed ya kutumia mafuta itaenda sambamba na speed ya kutumia gesi kama jinsi nilivyofanya kwenye hesabu hizo. Sasa jiulize gari yako inatumiaje mafuta kisha husianisha na hizo hesabu nilizofanya kama ikitumia gesi utaweza kupata jibu.

Kuhusu ufanisi yaani performance ya gari kama ukitumia gari itakua ni sawa tu na ukitumia gesi boss. Na uzuri ni kwamba ukiongeza mfumo wa gesi utakua na uwezo wa kurudi tena kwenye mafuta kama ukihitaji hivyo.

Karibu sana boss uiongezee mfumo gari yako.
CNG haiwezi kuwa na mlipuko sawa na petrol lkn

Je unaweza tumia both mafuta na gas by a single switch

Eg tank za gas zina gas na tank za mafuta zina mafuta Yani me dereva ndo naamua sa hivi naenda kwa mchepuko acha nitumie gas ..muda wa kurudi Nita switch itumie mafuta
 
Ga

CNG haiwezi kuwa na mlipuko sawa na petrol lkn

Je unaweza tumia both mafuta na gas by a single switch

Eg tank za gas zina gas na tank za mafuta zina mafuta Yani me dereva ndo naamua sa hivi naenda kwa mchepuko acha nitumie gas ..muda wa kurudi Nita switch itumie mafuta
Ndio boss ndivyo mfumo ulivyo boss. Wewe ilete gari yako upunguze gharama za mafuta.
 
Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako.

1. Ukijaza gesi ya Tsh. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Tsh. 17000 = Km. 200
? = Km. 1
Km. 1 = Tsh. 17000/200 = Tsh. 85

Kikawaida ukijaza lita moja ya petroli unaweza kusafiri kilomita 10 hadi 12. Chukulia lita moja ya petroli ni Tsh. 2886
Tsh. 2886 = Km. 12
? = Km. 1
Km 1 = Tsh. 2886/12 = Tsh. 240.5

Sasa ukitumia gesi kwenye gari yako kwa kila kilometa 1 unaokoa Tsh. ngapi?

Unaokoa = Tsh. 240.5 - Tsh. 85 = Tsh 155.5

Kumbe kwa kila Km. 1 unaokoa Tsh. 155.5

Gharama za kuiongezea mfumo wa gesi gari yako ni Tsh. 1,800,000. Tunazibadili hizi kwenda kwenye Km.

Km 1 = Tsh. 85
? = Tsh 1800,000
Tsh 1800, 000 = Km. 21176.5

Unataka tujue katika Km. hizo tunaokoa Tsh. ngapi?

Km. 1 = unaokoa Tsh. 155.5
Km. 21176.5 = ?

Unaokoa = Tsh. 21176.5 × 155.5 = Tsh. 3,292,941

Sasa unaweza kuona ukiongeza mfumo wa gesi unatumia Tsh. 1,800,000 ambazo zinakuwezesha kutembea Km. 21176.5 kama ukizitumia kununulia gesi. Sasa ukitembea Km. 21176.5 hizo kwa kutumia gesi utaokoa Tsh 3,292,941. Kumbe gharama uliyotumia kubadilisha gari yako itumie gesi itarudi ukisha tembea Km. 21176.5 na faida juu.

2. Kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye gari inayotumia mafuta inagharimu Tsh. 1,800,000. Gharama hii ni kwa gari zenye cc 400-2000. Na kutakua na ongezeko la Tsh. 80,000 endapo kama spark plugs hazitaruhusu mfumo huo.

3. Ukisafiri kwa kutumia Tsh. 100,000 za mafuta ukitumia gesi utatumia Tsh. 40,000 tu. Umeokoa Tsh. 60,000.

4. Ukiweka mafuta ya Tsh. 45,000, kwa mwezi utatumia Tsh. 1,350,000. Kwa miezi miwili ni Tsh. 2,700,000.
Gesi unaweka ya Tsh. 17,000 na unatumia siku 2 mpaka 3. Inamaana unaongeza gesi kila baada ya siku 2 or 3.
Kama kila baada ya siku 2 unaongeza gesi mara 15 kwa mwezi (Tsh. 17,000 × 15 = Tsh. 255,000). Kwa miezi mwili hii ni Tsh. 510,000.
Gharama za kuongeza mfumo wa gesi ni 1, 800,000 + gesi ya miezi miwili ni Tsh. 510,000 jumla ni Tsh. 2,300,000.

Hivyo ukichukua gharama za mafuta kwa miezi miwili Tsh. 2,700,000 ukatoa gharama ya kufunga mfumo wa gesi na matumizi ya miezi mwili ya Tsh. 2,300,000 unabakia na Tsh. 400,000.

Kwa hiyo kwa mfano huu faida unaanza kuiona baada ya miezi miwili. Kuanzia mwezi wa tatu badala ya kutumia Tsh.1,300,000 kwa mafuta anatumia Tsh.255,000.

Hivyo unaweza kuona jinsi unavyo okoa fedha nyingi ukiongezea mfumo wa gesi kwenye gari yako inayotumia mafuta.

Ukitaka kuongeza mfumo wa gesi kwenye gari yako embu piga namba hii 0747744895
Ila wewe ni muongo... Hyo sh 1,800,000 ni garama za kufunga mfumo wa gesi kwenye gari yako.... Sio unauziwa gesi yenye thamani hyo...

Kwanza hapo umetudanganya....
 
Back
Top Bottom