Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kwanza sio lazima niwasalimie maana nitapoteza muda tu...🤨
Ipo hivi.
Jukumu la mzazi wako ni kuhakikisha unakua na afya njema, unapata malazi na mavazi mazuri na kisha unapata elimu na maarifa ili ukawe mtu mbele za watu duniani.
Kazi ya mzazi wako sio kukutafutia mali na sio jukumu la mzazi kukupeleka kwenye mafanikio ambayo ni jukumu lako wewe mwenyewe na ndio maana alikuhudumia tangu utoto hadi umejifaham.
Lakini kwa fikra zako hizi wewe kijana, ipo siku utaiba then utawaachia wazazi wako msala kwamba wakafungwe jela badala yako kwasababu wao ndio walikuzaa..😂
Anywas,
Mimi hua nawaambia wanangu kwamba, mkimuona mwizi anauwawa tambueni huyo anawazazi wake na wakati wanamzaa hawakupanga mtoto wao aje kuwa mwizi.🤨
I'm done...☹️
Ipo hivi.
Jukumu la mzazi wako ni kuhakikisha unakua na afya njema, unapata malazi na mavazi mazuri na kisha unapata elimu na maarifa ili ukawe mtu mbele za watu duniani.
Kazi ya mzazi wako sio kukutafutia mali na sio jukumu la mzazi kukupeleka kwenye mafanikio ambayo ni jukumu lako wewe mwenyewe na ndio maana alikuhudumia tangu utoto hadi umejifaham.
Lakini kwa fikra zako hizi wewe kijana, ipo siku utaiba then utawaachia wazazi wako msala kwamba wakafungwe jela badala yako kwasababu wao ndio walikuzaa..😂
Anywas,
Mimi hua nawaambia wanangu kwamba, mkimuona mwizi anauwawa tambueni huyo anawazazi wake na wakati wanamzaa hawakupanga mtoto wao aje kuwa mwizi.🤨
I'm done...☹️