Ngoja niseme nanyi vijana wa leo

Ngoja niseme nanyi vijana wa leo

Cha muhimu ukirithi mali basi jitahidi ziongezeke na wewe urithishe wanao na wajukuu bila kusahau kuwapa elimu-maadili na nasaha.
😂😂😂😂😂 Haya bana...
Nacheka tu hiyo ya kurithi mali daah..
Sijawahi kuwaza kabisa
 
Kazi ya mzazi wako sio kukutafutia mali na sio jukumu la mzazi kukupeleka kwenye mafanikio ambayo ni jukumu lako wewe mwenyewe na ndio maana alikuhudumia tangu utoto hadi umejifaham.
Ni jukumu la mzazi kumtengenezea mtoto mazingira bora ya ustawi wake hadi huyo mtoto atakapoamua mwenyewe kuanza kujitegemea.

Wewe wakati unamzaa mliingia makubaliano na mtoto kwamba aje aishi kwa hali yoyote?

Kama huna uwezo wa kumhudumia hata akiwa mkubwa kiasi gani acha usimzae maana usimzae mtoto akaja kuteseka duniani bora umwache huko huko pasipo na purukushani.
 
Ungeishi bila ya watoto ungepungukiwa nn? Ishi mwenyewe kama hauwezi kuwawezesha wanao duniani ni mateso kama hauna pesa.
 
Ni jukumu la mzazi kumtengenezea mtoto mazingira bora ya ustawi wake hadi huyo mtoto atakapoamua mwenyewe kuanza kujitegemea.

Wewe wakati unamzaa mliingia makubaliano na mtoto kwamba aje aishi kwa hali yoyote?

Kama huna uwezo wa kumhudumia hata akiwa mkubwa kiasi gani acha usimzae maana usimzae mtoto akaja kuteseka duniani bora umwache huko huko pasipo na purukushani.
Umeongea KITU kizito sana ni wazazi wachache sana wenye fikra, ebwana Mimi mwanangu hata akiwa na Miaka 70 au 80 sitoacha kumsupport kwa hali na Mali km Mtoto sio km mtu mzima au Mzee mwenzangu,

What I believe mtoto ni Mimi on another side of me na wapo wengine huambiwa wamejizaa sababu hufanana na watoto wao copyright kabisa kwa HIO nime-mutiply sasa naachaje kujisupport mwenyewe niendelee kuishi upande mwingine lazima nijisupport yule ni Mimi kwenye umbo la Mtoto wangu hata akiwa na Miaka 800
 
Ulivyosema ni sawa kama na sisi wazazi hatutahitajika kutunzwa na kuhudumiwa na watoto wetu
Mkuu....
Sio lazima kwa mtoto kumhudumia mzazi wake kwani wakati huo nayeye atakua na familia yake.
Lakini ni hiyari kwa mtoto kumhudumia mzazi wake.
Lakini ukweli mchungu nikwamba, mzazi ambae hawezi kujiandalia maisha yake ya uzeeni wakati anaingiza kipato na anayo afya njema pia... huyo mzazi ni kimeo grade one aiseeee.....
 
Mkuu....
Sio lazima kwa mtoto kumhudumia mzazi wake kwani wakati huo nayeye atakua na familia yake.
Lakini ni hiyari kwa mtoto kumhudumia mzazi wake.
Lakini ukweli mchungu nikwamba, mzazi ambae hawezi kujiandalia maisha yake ya uzeeni wakati anaingiza kipato na anayo afya njema pia... huyo mzazi ni kimeo grade one aiseeee.....

Utalaaniwa Mkuu ikishindikana watakuloga. Hii ni Afrika mkuu😀
 
Kwanza sio lazima niwasalimie maana nitapoteza muda tu...🤨

Ipo hivi.

Jukumu la mzazi wako ni kuhakikisha unakua na afya njema, unapata malazi na mavazi mazuri na kisha unapata elimu na maarifa ili ukawe mtu mbele za watu duniani.

Kazi ya mzazi wako sio kukutafutia mali na sio jukumu la mzazi kukupeleka kwenye mafanikio ambayo ni jukumu lako wewe mwenyewe na ndio maana alikuhudumia tangu utoto hadi umejifaham.

Lakini kwa fikra zako hizi wewe kijana, ipo siku utaiba then utawaachia wazazi wako msala kwamba wakafungwe jela badala yako kwasababu wao ndio walikuzaa..😂

Anywas,

Mimi hua nawaambia wanangu kwamba, mkimuona mwizi anauwawa tambueni huyo anawazazi wake na wakati wanamzaa hawakupanga mtoto wao aje kuwa mwizi.🤨

I'm done...☹️
Acha kuwatisha wanao,

Ukiacha pombe,ukawa mlipa ZAKA,

Utaweza kuwaachia URITHI watoto Hadi wajukuu.
 
Back
Top Bottom