Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 sijuiUnaogopa nn? 😅😅😎
Dah 😅😅. Ngoja nisubirie😂😂 sijui
Mi nimefall hiyo ID profile yakoHii naona haituhusu sie ambao hatuhitaji wapenzi humu JF. Naanzaje kufall kwa anonymous IDs kwa mfano [emoji848]
Dada ndo kusema umechoka kutuona single 😀😀😀Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
🤣🤣🤣🤣Duh aiseee bora nilifunga PM
Ila sasa huu uzi hakuna mtu atalike comment ya mtu😀😀😀Kwakweli nataka nialikwe ubwabwa
Nina vitenge vyangu na lace zangu hapa sina pa kuzivaa kabisa
Aisee hebu fanya kulike hii basi nije pm hukoNdo kaz ya mchujo sasa...kwani aki like tu inatosha?? Si mtachujana mbele kwa mbele
Tunaowapenda wamefunga PM zao mfano AntonniaYani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.