Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Naweka nukta kubwa hapa. 🤠🤠🤓🤓
 
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Dah ulijuaje.

Niko TRA namsubiri ofisi anikadirie..!!!

#YNWA
 
Kunasehemu ya kulike zoteKws mara moja Nakadori 😂😂😂
We like wote tu
Kwan sh ngapii
Ntafurahi siku mnaleta mrejesho hapa kwamba kuna ndoa zilifungwa....kuna katoto kalizaliwa na kuna watu mlikulana
Me nafurahi sana watu wakilana
 
Njoo kwangu sitakushushua maana me mwenyewe siamini sana kwenye ndoa...
Ila vigezo na masharti kuzingatiwa
Narudia tena vigezo na masharti kuzingatiwa

Dah utaniambia nilipie hayo makadirio ya 400k ya TRA
🏃🏃🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

#YNWA
 
Back
Top Bottom