Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweka nukta kubwa hapa. 🤠🤠🤓🤓Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Hataki na kila siku anapiga makelele tuNgoja nikuitie Antonnia mfungulie mwenzako mlango
Dah ulijuaje.Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Kuna watu wanapata shida sana
Wanataka ku...to. tuuu sasa kazi kwako kaka mrefu. Comment sasa wakufwate...
😀😀😀😀😀leo hatulikeSisi WAKATAA NDOA tukiendaga PM huwa tunashushuliwa balaaa.
#YNWA
😂😂Sisi WAKATAA NDOA tukiendaga PM huwa tunashushuliwa balaaa.
#YNWA
Nimekuja 😀
Njoo kwangu sitakushushua maana me mwenyewe siamini sana kwenye ndoa...
Ila vigezo na masharti kuzingatiwa
Narudia tena vigezo na masharti kuzingatiwa