ππHataki utaniSatoh Hirosh usikufwe bure naona ume dis likeπ€£π€£π€£
Well said...Na ndio Mimi nakazia hapa a stand as a Man, Sio kama Mvulana maana atafeli mpaka atajidharau mwenyewe, Hakuna Mwanamke ambaye ni intellectual anataka Man mwenye akili za Kivulana
Partners mbona tupo, fanya kufungua PM tutajaaa mpaka wengine utushushie paziaπHumuhumu mkuu hakuna umaarufu wala nini sote ni jf memba!!!
Fanya unitafutie partner namie niwenae asee!
Miss Chagga chaga sijui alipotelea wapu hata kitambo sana humu!! Hanaga mbambambaa yule alikua peace sana!;Yani kwangu ubao upo ziro miss chaga Bora angekuwaga huku alikuwa hanaga mbaya na raia
Auweeeeehhh π Karibu sana pako wazi mkuu nimedodaaajee mieee π!! Bora nipate wa kunihifadhi π!Partners mbona tupo, fanya kufungua PM tutajaaa mpaka wengine utushushie paziaπ
Hahaha hiyo PM iliowazi kwako labda ni PM ya Prime Minister, ila sio hii Private Messege ya jf.Auweeeeehhh π Karibu sana pako wazi mkuu nimedodaaajee mieee π!! Bora nipate wa kunihifadhi π!
Kuongeza michepuko inaruhusiwa....?Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Hahaha hiyo PM iliowazi kwako labda ni PM ya Prime Minister, ila sio hii Private Messege ya jf.
Umenishinda tabia, haya bhana ππ€£π€£! Hiohio ya jf buana fanya ukuje ukuje fastaa π
ππππ mwanaume gani uyo anayeangalia ufupi kupata mwanamke. Atakosa vizuri kwakweliπππ maana wanawake wafupi na changamoto zao watakufanya ujione wewe kidume kama ukiweza kummudu. Tena kwa dada yangu sophy27 ujue huyo mwanaume anaipata peponi akiwa duniani. ππMdogowako mm mfupi kama ujuavyo small peopleπππ
Neuro mdogowangu vijana wanatka kujitafutia matatizo nq presha ndogondogo hebu njoo wape tahadhari
Wacha wee Unawajaza upepo kumbe hamna kitu πππππ mwanaume gani uyo anayeangalia ufupi kupata mwanamke. Atakosa vizuri kwakweliπππ maana wanawake wafupi na changamoto zao watakufanya ujione wewe kidume kama ukiweza kummudu. Tena kwa dada yangu sophy27 ujue huyo mwanaume anaipata peponi akiwa duniani. ππ