Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Naweka nukta kubwa hapa. πŸ€ πŸ€ πŸ€“πŸ€“
 
Dah ulijuaje.

Niko TRA namsubiri ofisi anikadirie..!!!

#YNWA
 
Kunasehemu ya kulike zoteKws mara moja Nakadori πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We like wote tu
Kwan sh ngapii
Ntafurahi siku mnaleta mrejesho hapa kwamba kuna ndoa zilifungwa....kuna katoto kalizaliwa na kuna watu mlikulana
Me nafurahi sana watu wakilana
 
Njoo kwangu sitakushushua maana me mwenyewe siamini sana kwenye ndoa...
Ila vigezo na masharti kuzingatiwa
Narudia tena vigezo na masharti kuzingatiwa

Dah utaniambia nilipie hayo makadirio ya 400k ya TRA
πŸƒπŸƒπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…