Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Uzi unakimbia balaa khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi unakimbia balaa khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu mda huu wako busy pm
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
cocastic hujapata tuu?
 
Ishu ni Upstairs He can stand as a Man or like a Boy ?🤣🤣🤣🤣
Michango ya mtu humi ndani si ndiyo inamtambulisha Kama ni kilaza au yupo gud upstairs? Kupitia threads zsngu na michango mbalimbali Lenie na Glenn watatoa ushuhuda Kama Niko vizuri au kichwa maji.

I'm a man. I'm not a soy boy!!
 
Michango ya mtu humi ndani si ndiyo inamtambulisha Kama ni kilaza au yupo gud upstairs? Kupitia threads zsngu na michango mbalimbali Lenie na Glenn watatoa ushuhuda Kama Niko vizuri au kichwa maji.

I'm a man. I'm not a soy boy!!

Ishu ni kwamba una tabia ya kukasirika haraka, Sasa kuimiliki pisi kama Lenie unaweza? 🤣 🤣 🤣
 
Michango ya mtu humi ndani si ndiyo inamtambulisha Kama ni kilaza au yupo gud upstairs? Kupitia threads zsngu na michango mbalimbali Lenie na Glenn watatoa ushuhuda Kama Niko vizuri au kichwa maji.

I'm a man. I'm not a soy boy!!
Kichwani sina shida lakini bado hujakomaa kubeba mizigo mizito kama Lenie ni oversize kwako🤣🤣
 
Nimemwambia hapo comment ya juu, maana nimemsoma kwa masaa kadhaa nimegundua ana tabia ya kukasirika na kununa nuna as if yeye ndio Pisi kali 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nami mashaka yangu yameanzia pale.
Inaelekea kijana hata mgambo hajapitia achilia mbali jkt.
Bado hajatolewa ka kiburi kususa na kununa.
Ukimchalenji ana dislike😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nami mashaka yangu yameanzia pale.
Inaelekea kijana hata mgambo hajapitia achilia mbali jkt.
Bado hajatolewa ka kiburi kususa na kununa.
Ukimchalenji ana dislike😂
🤣 🤣 🤣 🤣 Huyu Kijana wetu au Mdogo wetu ana tabia ya kupanick haraka na kufanya maamuzi ya hovyo na baada ya muda huwa anajirudi na kuanza kurekebisha makosa yake, bado hana uwezo wa kumiliki Pisi level za Lenie
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Huyu Kijana wetu au Mdogo wetu ana tabia ya kupanick haraka na kufanya maamuzi ya hovyo na baada ya muda huwa anajirudi na kuanza kurekebisha makosa yake, bado hana uwezo wa kumiliki Pisi level za Lenie
Halafu hata kamba zake nyepesi sana.
Pisi kama akina Lenie yanapenda mikato ya kibabe na kijanja..🤣🤣🤣
 
Miss Chagga chaga sijui alipotelea wapu hata kitambo sana humu!! Hanaga mbambambaa yule alikua peace sana!;
Yule sister nilikuwa namkubaligi sana japo ndo hivyo jf ya kipindikile tulikuwaga hatunaga kutaka Juana zaidi Kama Fb ila Mshana Jr alikuwaga ndo king wa JF na alikuwa sana rafiki na huyo dada nadhani walijuana sana
 
Nimemwambia hapo comment ya juu, maana nimemsoma kwa masaa kadhaa nimegundua ana tabia ya kukasirika na kununa nuna as if yeye ndio Pisi kali 🤣 🤣 🤣
Sema Wana hiyo kichen pati mliyotoa Leo Ni hatari Sana. Mmekomaa na Mimi mwanzo mwisho bila kunipa nafasi ya kupumua hata kidogo. I salute u guys!!
Glenn Mimi siyo mtu wa kukasirika bana,hizo dislike hazina uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…